Umekiona kikosi mzee babaBabu jorginho kaanza leo lazima mtoboke had mda huu mshatolewa kwenye Nafasi ya kwanza
Tunaomba lineups..
mim nimeona line up yako apo kwanza ata acheze nani kipigo kipo pale paleUmekiona kikosi mzee baba
utafungwaje na walevi kina Ben whiteArsenal akishinda hii game najipiga ban jf mpaka pasaka ijayo ...
Si ushaona tayari 2-1 liver kashindaLabda njaa
KDB mrembo tumnyama kdb piga haooooo Arsenal
Mwache akae juu hadi saa 2 usiku.Si ushaona tayari 2-1 liver kashinda
mda wote mpo nyuma na mnacheza rafu tu nafasi ya Tatu ndio hazi yenuMwache akae juu hadi saa 2 usiku.
mpira ni half time wew unasema dakika ya 36Mpaka sasa ni sare dakika ya 36
Asee saa ngapi kwa sasa hukoMwache akae juu hadi saa 2 usiku.
Wee hujalewa badoo? [emoji23][emoji23][emoji23]Umelewa wewe