PREMIO ENGINE 1zz CC 1750

Nicsta

Member
Joined
May 8, 2021
Posts
35
Reaction score
27
Naomba kujua namna inavotumia Mafuta engine hiyo ktk Premio New model ya kuanzia 2002-2005,, kwa DHATI uzuri wa engine (faida na hasara na mazingira ya kwetu,,
Barikiwa ndugu yangu.
 
Naomba kujua namna inavotumia Mafuta engine hiyo ktk Premio New model ya kuanzia 2002-2005,, kwa DHATI uzuri wa engine (faida na hasara na mazingira ya kwetu,,
Barikiwa ndugu yangu.
hamna gari apo
 
Boss, 1ZZ hakuna ya cc1750 bwana. Zipo za cc1794 na cc1796, ambazo zote zinafupishwaga 1.8L tu.

Hiyo ZZ-FE ya kwenye Premio 1st gen ni cc1794, ni moja ya engine maarufu na imara iliowahi tengenezwa na Mjapan. Kwanza ipo kwenye magari mengi sana mfano Corolla, Rav 4, Opa, Wish, Avensis, Isis, Alion etc etc.

Kwa maana hiyo usiogope kabisa kuhusu spare parts za engine, kwa hapa mjini.

Premio ya 2nd generation zilianza mwaka 2007, sasa wewe unayosema 2005 hiyo ni 1st gen.

Tuanzie hapa, unaweza sema exactly mwaka wa hiyo gari coz 2nd generation walitumia 2ZR-FE engine.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…