Mkikuyu- Akili timamu
JF-Expert Member
- Feb 16, 2018
- 4,310
- 7,465
Afadhali yenu sisi huku kwetu wamechota more than Tshs 1 trilionAfter stealing $1bn EuroBond money, The drunkard is at it again, stealing a cool ksh 10bn. This should be a sobering lesson to those mistakenly celebrating safaricom's 40bn cheque to the kenya treasury.
NYS hit by new Sh10bn scandal
It was 800m Kes and not 1b dollars, either way atleast we will shout here..After stealing $1bn EuroBond money, The drunkard is at it again, stealing a cool ksh 10bn. This should be a sobering lesson to those mistakenly celebrating safaricom's 40bn cheque to the kenya treasury.
NYS hit by new Sh10bn scandal
Jubilee must fall..Hiyo 1.5 trl ni Propaganda ya siasa Tz, Na hilo swala limetolewa ufafanuzi hadi bungeni.. But nyie kuna ushahidi 10000%..It was 800m Kes and not 1b dollars, either way atleast we will shout here..
You guys in Tz can't even say a word on 1.5T
1.5 trn CAG wenyewe wamesema ni porojo, Wapinzani wenu wako hovyo sana hata hesabu za serikali hawaelewi ufafanuziJubilee must fall..Hiyo 1.5 trl ni Propaganda ya siasa Tz, Na hilo swala limetolewa ufafanuzi hadi bungeni.. But nyie kuna ushahidi 10000%..
Wapinzani wa Tz, wanapenda umaarufu na Madaraka ni shida tu..1.5 trn CAG wenyewe wamesema ni porojo, Wapinzani wenu wako hovyo sana hata hesabu za serikali hawaelewi ufafanuzi
Vizuri mu mueleze Zitto Kabwe ajiri angalau Mhisabu mmoja kwa chama chake, anajiabisha sana kupambana na maprofessa walioko CAG, Na kama kwakweli ana hoja, aende kwa kamati ya PAC bunge aulize hayo maswali si kutafuta kiki kwa vyombo vya habari huku akishikana na Kahaba Mange KimambiWapinzani wa Tz, wanapenda umaarufu na Madaraka ni shida tu..
I hate that Lady, yani hapo ulivyomtaja ndio nimezidi kumchukia kabisaa..[emoji36] sema JPM hacheki na MTU..Anapiga kazi Usiku na Mchana..Vizuri mu mueleze Zitto Kabwe ajiri angalau Mhisabu mmoja kwa chama chake, anajiabisha sana kupambana na maprofessa walioko CAG, Na kama kwakweli ana hoja, aende kwa kamati ya PAC bunge aulize hayo maswali si kutafuta kiki kwa vyombo vya habari huku akishikana na Kahaba Mange Kimambi
Wacheni unafiki nendeni mkaulize kwenye ccm ilipeleka 1.5trn ,shughulikeni na ya kwenu makuu ***** nyinyi.Uhuru wants Kenyans kept impoverished so that he can keep them as his slaves and squarters.
Hili povu ni hatarii[emoji23] [emoji23] [emoji23]Wacheni unafiki nendeni mkaulize kwenye ccm ilipeleka 1.5trn ,shughulikeni na ya kwenu makuu ***** nyinyi.
Duuuu!!! namshukuru mamaangu na babaangu walinilea vzr na kwa maadili.Kutukana tusi kama hilo kwa mtu nisie mjua wala hata sijawah kumuona tena kwa vitu vya ajabu eti pesa wanakula wengne.Mungu akusamehe akupe maarifa kidogo angalau ujitambue.Wacheni unafiki nendeni mkaulize kwenye ccm ilipeleka 1.5trn ,shughulikeni na ya kwenu makuu ***** nyinyi.
Taarifa ya kupotea kwa 1.5 trn uliambiwa na mwanasiasa ama mhasibu? ona ujinga wako wa kufuata maneno tupu ya wanasiasa πSerikali ya CCM wamekwiba 1.5Tril.
Kwahivyo tufate maneno yako? 'Maneno tupu' kwamba rais Uhuru Kenyatta mwenyewe ndio ameiba hizo hela. Wewe sio mwanasiasa, basi itakuwa wewe ndio hausigeli wa rais na First Lady. Haya tuambie, walizificha sebuleni au jikoni??? πππTaarifa ya kupotea kwa 1.5 trn uliambiwa na mwanasiasa ama mhasibu? ona ujinga wako wa kufuata maneno tupu ya wanasiasa π
ShukranDuuuu!!! namshukuru mamaangu na babaangu walinilea vzr na kwa maadili.Kutukana tusi kama hilo kwa mtu nisie mjua wala hata sijawah kumuona tena kwa vitu vya ajabu eti pesa wanakula wengne.Mungu akusamehe akupe maarifa kidogo angalau ujitambue.
Umeolewa na Mjaluo nini?After stealing $1bn EuroBond money, The drunkard is at it again, stealing a cool ksh 10bn. This should be a sobering lesson to those mistakenly celebrating safaricom's 40bn cheque to the kenya treasury.
NYS hit by new Sh10bn scandal
Mkuu, unajua ukiwa unamwamini sana mtu uku ukiwa unamsifia then unakuja kupata habari kama hizi huwa ata uharo unaweza ukaona unatokea kwenye vidole vya mguu kwa hasira.... we wastahmilie tu mana naona kuna mmoja kaja kuandika tusi kubwa ana stress tupuTaarifa ya kupotea kwa 1.5 trn uliambiwa na mwanasiasa ama mhasibu? ona ujinga wako wa kufuata maneno tupu ya wanasiasa π