Presha kwa Mjamzito na sababu yake huwa ni nini

Presha kwa Mjamzito na sababu yake huwa ni nini

Tempest

JF-Expert Member
Joined
Apr 26, 2022
Posts
245
Reaction score
430
Habari

Kuna jirani yetu mtaani hii mara ya 3 kila ikifika wiki 1 kabla ya kujifungua anapata presha kubwa kiasi cha kwamba inabidi mtoto atolewe kwa upasuaji na mara zote mtoto ana survive siku 1 tu kisha anafariki

Mwaka huu walienda hospital kubwa kidogo kufanyiwa monitoring lakini issue imekuwa ileile mwaka wa 3 mfululizo

Nimepata hii story kwa wahusika nimeona ajabu nikaona nijaribu kufuatilia labda shida ni nini au wanawezaje kuepuka kama wakitaka kujaribu next time maana naona wameshakata tamaa, Upande wa pili kuna majibu ya kishirikina walipata baada ya kufuatilia lakini ya kisayansi ndio bora zaidi kwasasa
 
Inaweza kusababishwa na mabadiliko ya hormone, kuongezeka kwa uzito , pia umri hasa kwa walio na umri mkubwa ,ulaji mbaya na kutofanya mazoezi kipindi cha ujauzito, na pia kama ana watoto mapacha ,inaweza kusababisha mzunguko wa damu uwe mkubwa.
 
Kuna kitu kinaitwa abraptio placenta, natamani 'gaina' apite humu atoe maelezo ya kina. Hii kitu ilitutesa sana.

Halafu kuna hii Pressure Induced Hypertension (PIH)

Halafu kuna pre eclampsia.

Wanawake wanapitia mengi sana...mtu yupo theatre ila wewe upo unaumwa.
 
Inaweza kusababishwa na mabadiliko ya hormone, kuongezeka kwa uzito , pia umri hasa kwa walio na umri mkubwa ,ulaji mbaya na kutofanya mazoezi kipindi cha ujauzito, na pia kama ana watoto mapacha ,inaweza kusababisha mzunguko wa damu uwe mkubwa.
Akili unazo ila Basi tu😅
 
Habari

Kuna jirani yetu mtaani hii mara ya 3 kila ikifika wiki 1 kabla ya kujifungua anapata presha kubwa kiasi cha kwamba inabidi mtoto atolewe kwa upasuaji na mara zote mtoto ana survive siku 1 tu kisha anafariki

Mwaka huu walienda hospital kubwa kidogo kufanyiwa monitoring lakini issue imekuwa ileile mwaka wa 3 mfululizo

Nimepata hii story kwa wahusika nimeona ajabu nikaona nijaribu kufuatilia labda shida ni nini au wanawezaje kuepuka kama wakitaka kujaribu next time maana naona wameshakata tamaa, Upande wa pili kuna majibu ya kishirikina walipata baada ya kufuatilia lakini ya kisayansi ndio bora zaidi kwasasa
Bas bak na majibu bora yako
 
Kuna movie sijui series niliiangalia ya Kikorea. Kuna mdada akapata ujauzito na ana history ya High bp na hata hakuwa obese, sema tu ndo iko kwenye family genealogy naona. So akapigwa stop kila chakula cha mafuta, salt, na dairy nadhani. Mayai pia yakaondolewa. Kuna dada yeye alipigwa stop kula red meat na samaki. So ilibidi waingie kwenye mediterranean diet, beans, kunde, njegere, samaki labda once per two weeks. No soda no anything. Sana sana akaambiwa labda ale dagaa. Na kweli ikampunguzia ile hali.

So huyo aangalie nutrition. Lakini asali sana pia. Kuna mambo yanatumwa na village people. Ulimwengu wa roho una nafasi yake sana tu. Kuanzia anajua mjamzito, atembee na fruits and veges zaidi, ashibe matunda na mboga. Kama ni ubongo wa mtoto anywe supu za vichwa vya samaki kama haitamchefua. Yani ni kupata muongozo kamili wa diet, its important.
 
Back
Top Bottom