Presha

Presha

M.E.M.A

JF-Expert Member
Joined
Jul 27, 2013
Posts
1,373
Reaction score
472
Wakuu salaam.

Naomba kufahamishwa tiba ya kufanya presha iwe normal. Mgonjwa ana tatizo la kupanda presha..na kapewa dawa mbalimbali hadi sasa analalamika zinamuumiza tumbo.
 
sasa nitakusaidiaje?Katafute majina ya dawa kwanza na ametumia kwa muda gani hizo dawa?Na kwa dosage gani?

Kwa kweli katumia nyingi sana. Kuanzia za Sanitarium hadi hospitalini. We niambie tu iwapo utataja tofauti na alizonazo then sawa.

Sasa unaenda mwaka tangu aanze. Inakuwa siku mbili yupo vizuri siku 3 mgonjwa.
 
Kwa kweli katumia nyingi sana. Kuanzia za Sanitarium hadi hospitalini. We niambie tu iwapo utataja tofauti na alizonazo then sawa.

Sasa unaenda mwaka tangu aanze. Inakuwa siku mbili yupo vizuri siku 3 mgonjwa.
Siwezi kukussaidia kwa mustakbali huu samahani kwa kusema hilo nahitaji info zaidi....
 
Wakuu salaam.

Naomba kufahamishwa tiba ya kufanya presha iwe normal. Mgonjwa ana tatizo la kupanda presha..na kapewa dawa mbalimbali hadi sasa analalamika zinamuumiza tumbo.

Yupo mkoa gani? anza kujisomea maelezo haya hapa kwanza kabla hujaniambia anpatikana wapi ili nimtembelee.
 
Back
Top Bottom