Tell us the impact of past summits in japan, russia, china, india, germany.You are drunk and intoxicated. You won't be able to understand the impact of the same at this juncture, just go home buddy!..
Impact! SMH, don't you see they're insulting you?You are drunk and intoxicated. You won't be able to understand the impact of the same at this juncture, just go home buddy!..
Nitajie mkutano mmoja Marais wa Ulaya (hata watatu tuu) waliokuja Nairobi kwa mwaliko wa Rais wa Kenya (iwe Mzee Jomo, Moi, Kibaki au Uhuru).Sio waafrika wote wana low self esteem kama wewe. Kumekuwa na summit na forum nyingi za aina hiyo hapa Nairobi na viongozi wengi huwa wanahudhuria, kutoka kote duniani.
Hivi wewe unaona sawa Marais wa bara zima kukutanishwa na kiongozi wa nchi moja? Kwa nini Kiongozi huyo asiende kwenye nchi hizo ili kuonesha heshima?Wewe ndiye akili zako bado zipo utumwani kama unafikiria kila wanapokusanyika ni misaada tu, Afrika ya leo sio ya enzi za mababu, watu wanakusanyika na kujadili biashara na fursa, sio kuganda ndani sehemu moja....
Bro hao hawawezi kukuelewa, bado hawajitambui.Hivi kitendo cha kukusanywa kama kuku marais Wote Africa 🌍 kwenda UK kwaaajili tu ya talk shops and taking photos mkiwa mmelundikana kumzunguka malkia kama dummies huwa mnajisikiaje?
Naonaga kama ufukara wa akili wa hali ya juu
Masikini hana maringo. Wacha sisi tupate investments, nyinyi endeleeni kuringa.US-Africa summit
China-Africa summit
Japan-Africa summit
India-Africa summit
Korea-Africa summit
France-Africa summit
Russia-Africa summit
Germany-Africa summit
Turkey-Africa summit
UK-Africa summit
CanadaAfrica biz Conf
NetherlandsAfrica biz Council
SingaporeAfrica biz Forum
Hizi zote na nyingine viongozi wa Africa hukokotwa kama manyumbu na huenda kuwachekesha wazungu kwa hotuba zao mfu zisizo na uhalisia kisha wakirudi kwenye nchi zao hali ni ile ile
Hakuna chochote wanachopata zaidi ya fedheha tu na kujidhalilisha, na hakuna marais wa bara lolote hujusanywa kama yungiyungi hata na kanchi ka kipumbavu kama marais kutoka Africa
The kind of thinking that even laziness itself would easily wish to deassociate from. It has nothing to do with with a country's size but capability. Think about the economy of the entire East Africa including your gigantic Tanzania in comparison with what you are referring to as 'ka inchi kidogo'. By joining the EPL, convince Mbwana Samatta that he can't play his football in a small country like UK at the expense of your bigger Tanzania!🤣🏃🏃Impact! SMH, don't you see they're insulting you?
Nitajie mkutano mmoja Marais wa Ulaya (hata watatu tuu) waliokuja Nairobi kwa mwaliko wa Rais wa Kenya (iwe Mzee Jomo, Moi, Kibaki au Uhuru).
Hivi wewe unaona sawa Marais wa bara zima kukutanishwa na kiongozi wa nchi moja? Kwa nini Kiongozi huyo asiende kwenye nchi hizo ili kuonesha heshima?
Bro hao hawawezi kukuelewa, bado hawajitambui.
Haiingii akilini marais wa bara zima wanakusanywa kama mbuzi kwenda kuongea na kanchi kamoja. Magu alisema juzi alipokuwa Zanzibar, ngwe yake ya kwanza anaimaliza hajatoka nje ya Afrika na hatatoka, akasema wanataka sisi twende kwao mbona wao hawaji?
This is the kind of thinking nurtured by Charles Njonjo and you're the result of it.The kind of thinking that even laziness itself would easily wish to deassociate from. It has nothing to do with with a country's size but capability. Think about the economy of the entire East Africa including your giagantic Tanzania in comparison with what you are referring to as 'ka inchi kidogo'. By joining the EPL, convince Mbwana Samatta that he can't play his football in a small country like UK at the expense of your bigger Tanzania!🤣🏃🏃
And if this is the kind of response, so be it!.This is the kind of thinking nurtured by Charles Njonjo and you're the result of it.
You can only know the impact if you want to. However with respect to the topic at hand, Kenya has secured more than Kshs170b worth of investment.Tell us the impact of past summits in japan, russia, china, india, germany.
Ujinga mtupu.
Sent using Jamii Forums mobile app
GDP Kenya $100b Population 47mTell us the impact of past summits in japan, russia, china, india, germany.
Ujinga mtupu.
Sent using Jamii Forums mobile app
We jamaa unalipenda sana hili neno, "beberu". Ila bado hujanijibu swali langu.Chamoto acha ufalastuka, Obama alipokua rais alizuru Kenya kuhudhuria entrepreneurship summit. Sio kuchapa densi za kitamaduni kama alipofika Tz.Alafu na kauli yenu ya kutowafagilia mabeberu mkadeki mabarabara na omo na mkapulizia dawa ya kuua mbu kote jijini. [emoji38] Wabongo kwa unafik hamna zaidi yenu. [emoji1]
Ndio chorus yenu ya kawaida mabeberu wanatuonea kijicho, hatuwafagilii. Alafu baadaye mnadeki mabarabara na kupuliza dawa ya mbu na kukata viuno wakifika Tz. Delegation yenu ipo UK, wakipiga selfie na mabar maid. Nimejibu swali lako, Obama alitua Kenya kuhudhuria summit baada ya kualikwa na rais U.K. Tena alifika Nairobi na wawekezaji zaidi ya 40.We jamaa unalipenda sana hili neno, "beberu". Ila bado hujanijibu swali langu.
Omba omba wote na familia za mitaani walikusanywa Dar na kufichwa, halafu malofa na makajamba wote wa kipato cha chini wakaambiwa hiyo siku wasiingie majini.Ndio chorus yenu ya kawaida mabeberu wanatuonea kijicho, hatuwafagilii. Alafu baadaye mnadeki mabarabara na kupuliza dawa ya mbu na kukata viuno wakifika Tz. Delegation yenu ipo UK, wakipiga selfie na mabar maid. Nimejibu swali lako, Obama alitua Kenya kuhudhuria summit baada ya kualikwa na rais U.K. Tena alifika Nairobi na wawekezaji zaidi ya 40.
Unaona sasa, kumbe hujalielewa swali langu. Sijaongelea Rais mmoja (U.K) kumwalika Rais mwenzake (OB). Hiyo ni kawaida sana, naongelea Rais wa nchi moja (Putin au Xi) kualika rundo la marais wa bara la Afrika kwenda kuongea nae.Nimejibu swali lako, Obama alitua Kenya kuhudhuria summit baada ya kualikwa na rais U.K. Tena alifika Nairobi na wawekezaji zaidi ya 40.
Kumbe Kenya ni masikini? Ha ha ha, angalau unakubali hili.Masikini hana maringo....
Eti kuongea nae? Huu ushamba wenu ni wa level nyingine. Yaani hata hujui ni nini huwa kinaendelea kwenye summit kama hizo?Unaona sasa, kumbe hujalielewa swali langu. Sijaongelea Rais mmoja (U.K) kumwalika Rais mwenzake (OB). Hiyo ni kawaida sana, naongelea Rais wa nchi moja (Putin au Xi) kualika rundo la marais wa bara la Afrika kwenda kuongea nae.
Viongozi wenu wa nchi wanajidharaulisha, na ninyi mnawatetea? Akili za kuku hizi.Eti kuongea nae? Huu ushamba wenu ni wa level nyingine. Yaani hata hujui ni nini huwa kinaendelea kwenye summit kama hizo?
Afadhali nyinyi ambao ni matajiri. Kenya ni middle income, bado tunajitahidi.Kumbe Kenya ni masikini? Ha ha ha, angalau unakubali hili.