Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani Viroba visharuhusiwa?Huyu anaenda kuvunja record Hakuna wala hatokuwepo. Big up
Waafrika wengine wanafikiri "strongman" ni sifa nzuri.Huyu anaenda kuvunja record Hakuna wala hatokuwepo. Big up
Strongman aliyekufa kwa Covid-19 kwa sababu ya ujinga wake?....Give me a break.Huyu anaenda kuvunja record Hakuna wala hatokuwepo.
Strongman aliyekufa kwa Covid-19 kwa sababu ya ujinga wake?....Give me a break.
Yuko wapi saa hizi?Huyu anaenda kuvunja record Hakuna wala hatokuwepo. Big up
Kiranga umebadirika au ndio ushaanza wewe kupitishwa kule kwenye mlango wa kuzimu, kiafrika mwanaume imara ndie anaepewa kipaumbeleNi kumuita mtu dikteta.
Akashuka kuzimuYuko wapi saa hizi?
Wewe kwanza hujui tofauti ya l na r, hujui tofauti ya kubadilika na kubadirika.Kiranga umebadirika au ndio ushaanza wewe kupitishwa kule kwenye mlango wa kuzimu, kiafrika mwanaume imara ndie anaepewa kipaumbele
Usihamishe maana umeelewa nilichoandika unapiganiwa mlango wa kuzimu hutaki wanaume wawe imara?Wewe kwanza hujui tofauti ya l na r, hujui tofauti ya kubadilika na kubadirika.
You are a country bumpkin, I do not feel comfortable talking to you at any level.Usihamishe maana umeelewa nilichoandika unapiganiwa mlango wa kuzimu hutaki wanaume wawe imara?
Pumpkins? You can reach my level, you ain't on my levels, so buckle up for nonsense you've been doing with me you PSMFYou are a country bumpkin, I do not feel comfortable talking to you at any level.
Exactly my point.Pumpkins?
Kizigua km unakijua twende mpaka kifaransa, nimekuuliza nini unakimbilia nini wewe SIMPExactly my point.
Hujui Kiswahili, hujui Kiingereza. Nitawasiliana nawe kwa lugha gani?