Elections 2010 President of the republic of nec mr...

Elections 2010 President of the republic of nec mr...

Facts1

JF-Expert Member
Joined
Dec 23, 2009
Posts
307
Reaction score
28
DSC_0957.JPG
 
NEC ni pandikizi la CCM
UWT ni watekelezaji wa ufisadi nchini
CUF TLP na NCCR manunuzi ni vibaraka wa CCM
 
Kumwambia huyu jamaa aache kumtii raisi wake ni kumuonea, haiwezekani.
Mimi nimeona watu kibao kabla ya uchaguzi, wanafanya kama utamaguni, au job description yao kumsaidia raisi /mgombea wa ccm sehemu anpotaka kwenda. Wanatumia resources za seriakli kuandaa kampeni, kurake eneo ili kampeni iwe shwari.
There was never fair ground.
Waende bungeni wakapiganie haki zetu. Wakichezea hawarudi next time, miaka mtano si mingi, ila natafuta sheria ambayo mbunge anaweza kutolewa kwa interests za jimbo lake.
 
Back
Top Bottom