Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pale ni sehemu ya mipasho tuAkafanyie kanisani kwake
Kabla ya marehemu alikuwa hajiamini?.Huyu jamaw anajiamn sn na sample ya mwendwzake
Mama kawanyoosha ,kawazodoa na kuwasuta.Kila mtu aongelee kwake, wa ikulu akaongelee huko, wa kanisani nae akaongelee huko, CCM wameshaogopa lile kosa la mipasho ya mama yao lingewatokea puani.
soon watamtolea bastola kama Nape
Hizi zote ni harakati za Katelephone na kundi lake kumlinda Jobo. Maana wako kundi moja na baadhi ya vyombo vya wabambika kesi za kubumba. Mama anatakiwa ashughulike nao mapema. Kuna shida kubwa sana huko Ccm.
Haitanoga, watu wanataka wasikie ile tone ya sauti yake, kama ile alimtolea Kadinali PengoSi aiandike hiyo speech yake na kuirusha mitandaoni?
HahahahhahaGwajima si akaongelee kanisani kwake? Huyu tangu alivyokosa uwaziri akili yake imegoma kureset
Huyo ni timu andunje, chini ya Ile wing Yao ndio shidaHuyo nae atulie ujinga umemjaa