Press conference ya Askofu Gwajima yapigwa stop πŸ›‘

Status
Not open for further replies.
alipoenda kuomba kura msikitini akasema hata yeye ni muislam na jina lake lingine ni rashid
Huyu si ana kanisa lake ambalo akiwepo ndani ana uhuru wooote, si angesubiri tu kesho na jumamosi, Jumapili amalizane na yeyote anayetaka kumalizana naye
 
Huyu si ana kanisa lake ambalo akiwepo ndani ana uhuru wooote, si angesubiri tu kesho na jumamosi, Jumapili amalizane na yeyote anayetaka kumalizana naye
anataka kumuwahi Shaka kabla hajaongea.
 
Huyu Mama kelele kila Siku, Oh
maumbile ya kike !!! Nani hajui?
Ohh chanjooo!! Nani anataka kufa ?
Ohh tozo, nani amekataa kulipa kodi?
Ohh umeme , nani hajui 27k inatosha.
Ohh machinga , kwani hao siyo watu?
So many noise.
Tanzanian wants to pay tax and spend their tax, mengine ni kelele
Mipasho apeleke kitchen part.
 
Hizi zote ni harakati za Katelephone na kundi lake kumlinda Jobo. Maana wako kundi moja na baadhi ya vyombo vya wabambika kesi za kubumba. Mama anatakiwa ashughulike nao mapema. Kuna shida kubwa sana huko Ccm.
Mama anapatia sehemu nyingi ila kosa lake kubwa Ni uzito wa kufanya maamuzi magumu watu wanapozingua,huyu jamaa alitakiwa sahzi awe kijijini kwake Kila asubuhi anaenda kusign kitabu Cha uwepo kwa mwenyekiti wa kijiji, ulinzi mkali Hakuna kutembelea mtu Wala kutembelewa na mtu lakini anakula vizuri Tena Kila anachotaka na wakati anaotaka.
Hivi angekuwa JPM angethubutu kusimama hadharani kuongea utumbo Kama ule?
Mama kunjua makucha Sasa.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…