Tumbo la sisimizi noma utashandaa anatoa kutu. Baada ya dakika chacheπ.Sisimizi kameza msumari ππ
Mwanamke ni Mama yako na the likes huko mtaani unaowadharau. Tanzania inaongozwa RAIS.Very nice movie.
Kuongozwa na mwanamke tegemea kelele , mipasho na maigizo .
Hayo mambo ya enzi za Mwendazakesoon watamtolea bastola kama Nape
Kwa nini umemwita Askofu Rashid?
Alikuambia anataka uwaziri !?? au ndo chanjo imeanza kitafuna ubongo wakoGwajima si akaongelee kanisani kwake? Huyu tangu alivyokosa uwaziri akili yake imegoma kureset
Press ilikuwa ifanyike saa 5 asbh kwa tangazo la kwanza ila baadae jana iyo akatoa tangazo jingine la mda kusogezwa mbele adi saa 9 alasiri
alipoenda kuomba kura msikitini akasema hata yeye ni muislam na jina lake lingine ni rashidKwa nini umemwita Askofu Rashid?
Kawavua nguo wamebaki uchi wa mnyamaMama kawanyoosha ,kawazodoa na kuwasuta.
Njaa tualipoenda kuomba kura msikitini akasema hata yeye ni muislam na jina lake lingine ni rashid
Subiri wanaume waazungushe round utaelewa kwa nini mwanaume . She is now kelele mingi. Anaupiga mwingi .Mwanamke ni Mama yako na the likes huko mtaani unaowadharau. Tanzania inaongozwa RAIS.
Na aliyejushika nyonga na kuongelea puani mbele ya wakuu sijuhi magavana hujumuona? Ile siyo mipasho aka taarabu!Pale ni sehemu ya mipasho tu
Huyu si ana kanisa lake ambalo akiwepo ndani ana uhuru wooote, si angesubiri tu kesho na jumamosi, Jumapili amalizane na yeyote anayetaka kumalizana nayealipoenda kuomba kura msikitini akasema hata yeye ni muislam na jina lake lingine ni rashid
anataka kumuwahi Shaka kabla hajaongea.Huyu si ana kanisa lake ambalo akiwepo ndani ana uhuru wooote, si angesubiri tu kesho na jumamosi, Jumapili amalizane na yeyote anayetaka kumalizana naye
Hata kwenye ofisi ya mbungeGwajima si akaongelee kanisani kwake? Huyu tangu alivyokosa uwaziri akili yake imegoma kureset
wakiwa madarakani huwa wanakuwa wajinga snUpumbavu wa CCM waliojenga kwenye hii nchi wa kuzuia uhuru wa kujieleza, machungu yake yanawarudia wao.
Mama anapatia sehemu nyingi ila kosa lake kubwa Ni uzito wa kufanya maamuzi magumu watu wanapozingua,huyu jamaa alitakiwa sahzi awe kijijini kwake Kila asubuhi anaenda kusign kitabu Cha uwepo kwa mwenyekiti wa kijiji, ulinzi mkali Hakuna kutembelea mtu Wala kutembelewa na mtu lakini anakula vizuri Tena Kila anachotaka na wakati anaotaka.Hizi zote ni harakati za Katelephone na kundi lake kumlinda Jobo. Maana wako kundi moja na baadhi ya vyombo vya wabambika kesi za kubumba. Mama anatakiwa ashughulike nao mapema. Kuna shida kubwa sana huko Ccm.