Salum Mwalimu ni Muislamu.
Uliza vizuri utajibiwa tu, usiulize kama vile unakimbizwaMnavyojua kujibaragua, naya tuambie wamekimbia press conference hawatahimili nini?
Hapa ndio unaleta mambo ya kipuuzi kabisa kabisa, hivi CCM hakuna Wakristo? Hivi ni dhambi kuwa Mwislamu? Acha ushenzi wako hapa wa kutaja taja dini za watu wengine kwenye uouuzi wako huuSalum Mwalimu ni Muislamu.
Safi sana , sasa naanza kuona maana ya dola na chama tawala.
Kwani wameshindwa kuweka hiyo hotuba yao ktk website? Kipindi kile nakumbuka c walituambia huwa wanatuwekea mtandaoni? Shida ik wapi.....haya zungusha mikono zungushaaa
Safi sana , sasa naanza kuona maana ya dola na chama tawala.
ccm na serikali yake wanazidi kujimaliza, kumbe hata kuzuia bunge live hofu ni chadema? Wanaogopa wananchi kuambiwa madhaifu ya ccm? Kama wana ubavu na wako makini kwa nini wasiache chadema waongee nao waje waongee yao pia? Haa kweli serikali haikai makini kuleta maendeleo zaidi ya kujaza msuli kupigana na chadema.
Safi sana , sasa naanza kuona maana ya dola na chama tawala.
So unasema sababu zilizotolewa na vyombo hivyo ni za uongo?Kwamba serikali ndio iko nyuma ya jambo hilo kutokuwa live?Kama ndivyo,waliowaita madikteta uchwara hawakukosea!Safi sana , sasa naanza kuona maana ya dola na chama tawala.
Hapa unamaanisha akili na busara ziko ccm inayorusha live matusi kejeri na vijembe kwa wapinzani sio?!Kutorusha Live hivyo vyombo vya habari viko sahihi.Kuna vitu ni hatari kwao vinavyoweza kuwagharimu ikiwa ni pamoja na kufungiwa na TCRA hasa ukizingatia tabia ya kuropoka vitu visivyo na ushahidi na hatarishi kwa usalama wa nchi waliyo nayo CHADEMA.Waweza ongea kitu hewani ambacho kinaweza kigharimu kituo cha television.Hiyo ya kurekodi kwanza imetulia.Wahariri wanapata muda wa kuangalia na kujiridhisha kuhusu hicho kilichomo humo kwenye tamko kabla ya kurusha hewani kwa usalama wa kituo chao,usalama wa nchi na ukweli na uhakika wa habari husika.
Kituo kabla ya kurusha LIVE lazima kiwe na uhakika wa tabia na aina ya huyo mrusha habari Live lazima wamfanyie uchambuzi wa vipengele vya kitaalamu vya KYC (know your customer) kabla ya kutoa go ahead ya kuwa ruksa rusha live.Wakimkatalia ni sawa.Kwani Hata CNN au BBC hata ilipwe shilingi ngapi haiwezi rusha Live mahojiano na viongozi wa magaidi wa kundi la ISS au ALKAEDA.
Jifunze mwandiko kwanza mkuu!CHADEMA wakosa fedha za kurusha Live Mkutano wao na Waandishi wa Habari.
CHADEMA walitoa taarifa kuwa wangerusha moja kwa moja mkutano wao na waandishi wa Habari ambao ulipangwa kufanyika leo kuanzia saa tano Asubuhi. Taarifa zinasema kuwa chama hicho kilialika vyombo vya Habari vya Azam, ITV, Channel Ten na Radio kadhaa kurusha hewani mkutano huo.
Hata hivyo, mpaka leo saa mbili Asubuhi, CHADEMA wamekosa fedha za kurusha hewani Mkutano huo. Inaelezwa kuwa Freeman Mbowe amesema kuwa chama hakina fedha kwa vile walitumia fedha nyingi kugharamia Mkutano wa Kamati kuu kutokana na kuongezeka kwa siku za mkutano huo kutoka siku mbili zilizopangwa awali hadi siku nne. Naye kiongozi wa heshima wa CHADEMA, Edward Lowasa alipofuatwa kuokoa jahazi alijinu kuwa imekuwa ninghafla mno na kwamba wangemwambia mapema, angewasiliana na maswahiba wake wangemsaidia.
Ka hali hiyo, Mkutano huo umeshindikana kuwa Live na sasa rusubiri recorded au clips zilizoeditiwa.
QUOTE="TataMadiba, post: 16989129, member: 206398"]Safi sana , sasa naanza kuona maana ya dola na chama tawala.[/QUOTE]Habari za uhakika, pesa zilikuwa zitoke kwa ma-mvi, familia imegoma zisitoke.