KaziIendelee
JF-Expert Member
- Oct 30, 2013
- 327
- 229
Nawasalimu sana wakuu,
Nimemsikiliza Mwigulu kwa umakini sana juu ya kile alichokiita ufafanuzi wa serikali juu ya tozo. Kwanza amerudia kauli zilezile alizozoea kuzitoa lakini ukichunguza kwa undani zaidi, yeye alikuja kimkakati kuweka geresha kwa watz juu ya uagizaji wa mabasi 60 kampuni ya Ester Luxury.
Na Kuhusu mawaziri aliowaalika kwa kile alichokiita ufafanuzi wa serikali juu ya tozo, nao ulikuwa mkakati tu. Kwanza, ni nani alisema ameagiza hayo mabasi kwa tozo? Tumsaidie Rais.
Nimemsikiliza Mwigulu kwa umakini sana juu ya kile alichokiita ufafanuzi wa serikali juu ya tozo. Kwanza amerudia kauli zilezile alizozoea kuzitoa lakini ukichunguza kwa undani zaidi, yeye alikuja kimkakati kuweka geresha kwa watz juu ya uagizaji wa mabasi 60 kampuni ya Ester Luxury.
Na Kuhusu mawaziri aliowaalika kwa kile alichokiita ufafanuzi wa serikali juu ya tozo, nao ulikuwa mkakati tu. Kwanza, ni nani alisema ameagiza hayo mabasi kwa tozo? Tumsaidie Rais.