Press Conference ya Mwigulu ilikuwa ni ya kimkakati

Press Conference ya Mwigulu ilikuwa ni ya kimkakati

KaziIendelee

JF-Expert Member
Joined
Oct 30, 2013
Posts
327
Reaction score
229
Nawasalimu sana wakuu,

Nimemsikiliza Mwigulu kwa umakini sana juu ya kile alichokiita ufafanuzi wa serikali juu ya tozo. Kwanza amerudia kauli zilezile alizozoea kuzitoa lakini ukichunguza kwa undani zaidi, yeye alikuja kimkakati kuweka geresha kwa watz juu ya uagizaji wa mabasi 60 kampuni ya Ester Luxury.

Na Kuhusu mawaziri aliowaalika kwa kile alichokiita ufafanuzi wa serikali juu ya tozo, nao ulikuwa mkakati tu. Kwanza, ni nani alisema ameagiza hayo mabasi kwa tozo? Tumsaidie Rais.
 
Nawasalimu sana Wakuu,

Nimemsikiliza Mwigulu kwa umakini sana juu ya kile alichokiita ufafanuzi wa serikali juu ya tozo. Kwanza amerudia kauli zilezile alizozoea kuzitoa LAKINI UKICHUNGUZA KWA UNDANI ZAIDI, Yeye alikuja kimkakati kuweka geresha kwa Watz juu ya uagizaji wa mabasi 60 kampuni ya Ester Luxury. Na, Kuhusu mawaziri aliowaalika kwa kile alichokiita ufafanuzi wa serikali juu ya tozo, nao ulikuwa mkakati tu. Kwanza, ni nani alisema ameagiza hayo mabasi kwa tozo?. Tumsaidie RAIS.
Rais anapendezwa naye
 
Nawasalimu sana Wakuu,

Nimemsikiliza Mwigulu kwa umakini sana juu ya kile alichokiita ufafanuzi wa serikali juu ya tozo. Kwanza amerudia kauli zilezile alizozoea kuzitoa LAKINI UKICHUNGUZA KWA UNDANI ZAIDI, Yeye alikuja kimkakati kuweka geresha kwa Watz juu ya uagizaji wa mabasi 60 kampuni ya Ester Luxury. Na, Kuhusu mawaziri aliowaalika kwa kile alichokiita ufafanuzi wa serikali juu ya tozo, nao ulikuwa mkakati tu. Kwanza, ni nani alisema ameagiza hayo mabasi kwa tozo?. Tumsaidie RAIS.
Hilo lilikuwa na shinikizo toka kwa mama, baada ya kikao chao cha "cabinet"

Ambapo alitoa agizo kwa Madele, kuwa ni lazima ajitokeze mbele ya Umma wa watanzania na awafafanulie kwa kina, badala ya kejeli yake kuwa asiyetaka tozo hizo, aende Burundi!🥺
 
Hao ni wateule wake.

Wana baraka zake.
Baraka zake??

Si wamejionea uchaguzi huru toka kwa majirani zetu, ambao umekuwa ukifuatiliwa kwa Karibu Sana na mamilioni ya watanzania?

Mwaka 2025 siyo mbali.

Na kwa kiburi cha Hawa maccm, wanaodhani kuwa ukiwa mgombea wa CCM, automatically umeshinda, hizo enzi zimepitwa na wakati,
 
Samahani nauliza tu; nasikia Waziri wa fedha ametoa mabasi ya usafiri kwa wale ambao wapo tayari kwenda Burundi.Tupeane connection jamani!
 
Nawasalimu sana wakuu,

Nimemsikiliza Mwigulu kwa umakini sana juu ya kile alichokiita ufafanuzi wa serikali juu ya tozo. Kwanza amerudia kauli zilezile alizozoea kuzitoa lakini ukichunguza kwa undani zaidi, yeye alikuja kimkakati kuweka geresha kwa watz juu ya uagizaji wa mabasi 60 kampuni ya Ester Luxury.

Na Kuhusu mawaziri aliowaalika kwa kile alichokiita ufafanuzi wa serikali juu ya tozo, nao ulikuwa mkakati tu. Kwanza, ni nani alisema ameagiza hayo mabasi kwa tozo? Tumsaidie Rais.
Mwigulu na mikakati ni kama Maji na mafuta.
 
Nawasalimu sana wakuu,

Nimemsikiliza Mwigulu kwa umakini sana juu ya kile alichokiita ufafanuzi wa serikali juu ya tozo. Kwanza amerudia kauli zilezile alizozoea kuzitoa lakini ukichunguza kwa undani zaidi, yeye alikuja kimkakati kuweka geresha kwa watz juu ya uagizaji wa mabasi 60 kampuni ya Ester Luxury.

Na Kuhusu mawaziri aliowaalika kwa kile alichokiita ufafanuzi wa serikali juu ya tozo, nao ulikuwa mkakati tu. Kwanza, ni nani alisema ameagiza hayo mabasi kwa tozo? Tumsaidie Rais.
Huyu Waziri ni janga la Taifa! Kwani hizo miundo mbinu na ujenzi huko zimeanza Leo. Zilikuwepo wakati awamu ya 4 na 5 sana lakini hatukusikia kutozwa Kwa akili ya matundu ya choo na zahanati.
Awamu ya 5 ilituhakikishia madini yetu yanatosha sana kujenga nchi na ikiwezekana na alifanya. Na wewe ulikuwepo. Mmepokea Hela Lukuki kutoka kwa wafadhili mnaaowaita mabeberu na mkajengea madarasa na zahanati japo Halmashauri nyingine hazikuona hata ya tundu 2 za choo sembuse Darasa.
Mmeendelea kusifia kila kukicha kumbe mnapiga Kwa kwenda mbele.
Ile pesa Waziri Mkuu aliyogundua hapo ofisini kwako ukiwa unaingia kuchukua nafasi walilipana Je umeifuatilia na ikatejeshwa??

Hapa hakuna cha ufafanuzi Wala kueleza futa hizo Tozo.

Ninyi Na CCM yenu mmekuwa janga la Taifa la Tanzania.
 
Hilo lilikuwa na shinikizo toka kwa mama, baada ya kikao chao cha "cabinet"

Ambapo alitoa agizo kwa Madele, kuwa ni lazima ajitokeze mbele ya Umma wa watanzania na awafafanulie kwa kina, badala ya kejeli yake kuwa asiyetaka tozo hizo, aende Burundi!🥺
Sasa kama Waziri anawambia wananchi waende Burundi na Rais anakaa kimya.

Ana rudia tena mara ya pili bado yupo kimya hii maana yake nini??
 
Nawasalimu sana wakuu,

Nimemsikiliza Mwigulu kwa umakini sana juu ya kile alichokiita ufafanuzi wa serikali juu ya tozo. Kwanza amerudia kauli zilezile alizozoea kuzitoa lakini ukichunguza kwa undani zaidi, yeye alikuja kimkakati kuweka geresha kwa watz juu ya uagizaji wa mabasi 60 kampuni ya Ester Luxury.

Na Kuhusu mawaziri aliowaalika kwa kile alichokiita ufafanuzi wa serikali juu ya tozo, nao ulikuwa mkakati tu. Kwanza, ni nani alisema ameagiza hayo mabasi kwa tozo? Tumsaidie Rais.
Screenshot_20220831-142555.jpg
 
Baraka zake??

Si wamejionea uchaguzi huru toka kwa majirani zetu, ambao umekuwa ukifuatiliwa kwa Karibu Sana na mamilioni ya watanzania?

Mwaka 2025 siyo mbali.

Na kwa kiburi cha Hawa maccm, wanaodhani kuwa ukiwa mgombea wa CCM, automatically umeshinda, hizo enzi zimepitwa na wakati,
CHADEMA nao watuwekee John Mnyika kwenye nafasi ya mgombea urais tumvue pichu huyu zombie asiyejiweza!
 
Si wamejionea uchaguzi huru toka kwa majirani zetu, ambao umekuwa ukifuatiliwa kwa Karibu Sana na mamilioni ya watanzania?
Uchaguzi huru Haiwezekani hapa kwetu kwasabb sisi tuna "Tume Mtu" hatuna "Tume Huru"
 
Back
Top Bottom