Press ya Gwajima kujirudia yale ya Nape?

Press ya Gwajima kujirudia yale ya Nape?

CK Allan

JF-Expert Member
Joined
Aug 14, 2013
Posts
2,781
Reaction score
6,139
Jana alisema leo Saa 5 atakuwa na jambo lake..
Hata hivyo ameahirisha ghafla mpaka Saa 9 alasiri..

Hii inanipeleka nyuma wakati Nape aliitisha press kama hii baada ya kuvuliwa uwaziri..

Baada ya kuzuiwa kutoa hotuba yake ndioo akawa hana namna isipokuwa kuitolea akiwa kwenye gari...
Na hata hapo pia ilibidi "bastola" itolewe kuzuia..

Kutokana na yanayoendelea Sidhani kama Gwaji boy ataruhusiwa kuongea chochote chenye ukakasi..
Kama press hii itakuwepo basi
"Wenyewe" wamejiridhisha kuwa haina madhara...

Lakini vinginevyo naona press hii "ikiahirishwa" au kuzuiwa...
Na Gwaji hatakuwa na option zaidi ya kusubiri jumapili kanisani kwake..
 
Hii itakuwa ni Microphone tu imepewa fursa au imeona fursa ya kuongezea na kuunga juhudi (kuchagua upande) hakuna jipya hapo zaidi ya ngonjera na mipasho
 
Hii itakuwa ni Microphone tu imepewa fursa au imeona fursa ya kuongezea na kuunga juhudi (kuchagua upande) hakuna jipya hapo zaidi ya ngonjera na mipasho
Kama itaruhusiwa basi "hotuba" hiyo imeshaonwa
 
Kumbuka wakimzuia wataleta balaa..maana kanisani kwake kutawaka moto
 
Gwajima fala tu....

Kwanza tunamdai tiketi za kwenda Birmingham na tunasubiria boti za uvuvi na treni uetu ili wanakawe tudemke na mbunge wetu...
 
Gwaji na Job wanabifu za mda mrefu , yaliyomkuta Job yameufurahisha sana moyo wa Gwaji
 
Jana alisema leo Saa 5 atakuwa na jambo lake..
Hata hivyo ameahirisha ghafla mpaka Saa 9 alasiri..

Hii inanipeleka nyuma wakati Nape aliitisha press kama hii baada ya kuvuliwa uwaziri..

Baada ya kuzuiwa kutoa hotuba yake ndioo akawa hana namna isipokuwa kuitolea akiwa kwenye gari...
Na hata hapo pia ilibidi "bastola" itolewe kuzuia..

Kutokana na yanayoendelea Sidhani kama Gwaji boy ataruhusiwa kuongea chochote chenye ukakasi..
Kama press hii itakuwepo basi
"Wenyewe" wamejiridhisha kuwa haina madhara...

Lakini vinginevyo naona press hii "ikiahirishwa" au kuzuiwa...
Na Gwaji hatakuwa na option zaidi ya kusubiri jumapili kanisani kwake..
Waache wachapane yetu macho.
 
Kwani Gwajiboy anashida na Rais ?
Yeye alikuwa anatafutana sijui kufuatiliana na mtu wake na sasa wameshakutana ndio sasa anataka kuongea nae.
 
M
Gwajima fala tu....

Kwanza tunamdai tiketi za kwenda Birmingham na tunasubiria boti za uvuvi na treni uetu ili wanakawe tudemke na mbunge wetu...
Mezoea vya bule ndo maana,
Sasa mimi ninazo za kwenda huko ila shart lazima upasuliwe malinda huko.
 
acheni speculations zisizo na maana, mbona kamati kuu ya ccm (CC) jana waliahirisha kasiba TAMKO LAO la pale LUMUMBA? Gwajima ye ni nani?
 
Gwajima fala tu....

Kwanza tunamdai tiketi za kwenda Birmingham na tunasubiria boti za uvuvi na treni uetu ili wanakawe tudemke na mbunge wetu...
Shauri yako mzee atakufuta kwenye ulimwengu wa kiroho🤣
 
hii taarifa ya kuhairisha press ilitoka tangu jana usiku na lengo lilikua ni kupisha kugonganisha na press ya Ummy mwalimu

nawahakikishieni press iko palepale saa 9 tukutane
 
Jana alisema leo Saa 5 atakuwa na jambo lake..
Hata hivyo ameahirisha ghafla mpaka Saa 9 alasiri..

Hii inanipeleka nyuma wakati Nape aliitisha press kama hii baada ya kuvuliwa uwaziri..

Baada ya kuzuiwa kutoa hotuba yake ndioo akawa hana namna isipokuwa kuitolea akiwa kwenye gari...
Na hata hapo pia ilibidi "bastola" itolewe kuzuia..

Kutokana na yanayoendelea Sidhani kama Gwaji boy ataruhusiwa kuongea chochote chenye ukakasi..
Kama press hii itakuwepo basi
"Wenyewe" wamejiridhisha kuwa haina madhara...

Lakini vinginevyo naona press hii "ikiahirishwa" au kuzuiwa...
Na Gwaji hatakuwa na option zaidi ya kusubiri jumapili kanisani kwake..
Asubiri kanisani kwake😀
 
Shauri yako mzee atakufuta kwenye ulimwengu wa kiroho🤣
Huyu mzee inaelekea ana vifutio vingi sana. Alianza na Bashite, naona zamu ya JOBO imefika. Mungu nifundishe kunyamaza kifutio kisihamie kwangu
 
Back
Top Bottom