kwsbb ulinikataa ulipotaka mbegu ya kizungu nikakwambia ni mzungu wa mashamba ya miwa mtibwa_nina miaka ming huku
sijamind jamani.
Nimeshangaa tu.
Upo Mzima wewe?
Good idea hata mimi mawazoni tayari na picha yako lol!
natamani nijue na wewe hizo assumptions zako.
Jamani maassumptions haya siku tukionana tusije tukakimbiana.
Hiyo power of the mind si ndio ilyochafua shuka zangu na umekataa kuja kuziosha lol!hahhahhahahah lol mie hilo neno sasa naliogopa kishenzi yaani ...
Asante mzima kabisa mungu anasaidia.... ila am sure am not wide of the mark...... Ucheshi, na tabasamu... na hii sio power of mind from your posts unaonekana ni mcheshi na mtu mcheshi hakosi tabasamu.. na hakuna tabasamu baya... na wanawake wote ni visura hakuna mwanamke mbaya....
wote hao wahusika uliwataja hapo juu..
mmmmhhh itabidi nikupigie nikupe story..
wote ni super kwa kweli...
hata siku moja usije jaji mtu ajili ya avatar ''
take care
AD
Hiyo power of the mind si ndio ilyochafua shuka zangu na umekataa kuja kuziosha lol!
hahhahhahahah lol mie hilo neno sasa naliogopa kishenzi yaani ...
mama na wewe umeshakuwa VUVUZELA lini? waache wagombane, wewe si ndo KISURA kuliko wote? Usimwamshe alielala basi..
hahhahaahhahah lol umenichekesha lol
Rudi kwenye post hiyohiyo nimei-edit.natamani nijue na wewe hizo assumptions zako.
Jamani maassumptions haya siku tukionana tusije tukakimbiana.
kuna wengine evolution bado haijaisha. Wapo kwenye uchimpanzii.
wewe twenzetu Zenji tukale maraha ubishi wa nini mimi na wewehatuuwezi...
hahahahahha li asante kembamba kangu,,,
check na we ulivyo kuwa supermmmmmmmmmmmhhh ukichanganya na AD hapo ..jibu unalo lol
mmmmhh sasa sijui niwaze nini tena mtu wangu..mie nilidhani tuko kizazi cha dot.com
kumbe kuna wengine tumewaacha nyuma hatari kwa kweli..
haya tena mie ndo huyo na kitoa
bada basi kembamba changu..
nakuita hivyo sababu unataka jimama ..
tena yule yaliozidia kwa nyuma hadi anamtu anaemsaidia kusukuma kwenye troli hahahh lol
kibinda nkoe/
baadae mtu wangu..take care
UNA MAKENGEZA?:baby:unajua tangu ni join jamvini nimekuwa bush na ni-browse kwa handet ambayo ki-ukweli capacity yake ni ndogo kuweza kuona Avatar za wana jf na hivyo mim nilikuwa nimejijengea Avatar zangu mwenyewe za kisaikolojia ambazo kwa kweli baada ya ku-browse kwny moderm nimekuja kuona utofauti mkubwa sana. kwamfano kutokana na Preta kujishebedua sana na mwarabu wake nilijua ndo Kisura wa Jf yeye na Husnyo-kumbe bwana kisura ni Michelle:smiling:. nilikuwa kama story ile ya kipofu na kuku-nadhani wengi mnaikumbuka(kipofu alipobahatika siku moja kuona kwa sekunde alifanikiwa kumuona jogoo-basi akiambiwa hili ni ghorofa, anauliza eti ni kubwa kuliko jogoo)-nilikuwa kipofu kabisa-am enjoying to see your Avatar