preta na michelle

kwsbb ulinikataa ulipotaka mbegu ya kizungu nikakwambia ni mzungu wa mashamba ya miwa mtibwa_nina miaka ming huku

ha ha ha ha!
Jamani ndio unanilipizia kwa kunichafua jina. Lol!
Mungu wetu mwenye upendo akusamehe.
 
sijamind jamani.
Nimeshangaa tu.
Upo Mzima wewe?

Asante mzima kabisa mungu anasaidia.... ila am sure am not wide of the mark...... Ucheshi, na tabasamu... na hii sio power of mind from your posts unaonekana ni mcheshi na mtu mcheshi hakosi tabasamu.. na hakuna tabasamu baya... na wanawake wote ni visura hakuna mwanamke mbaya....
 

kweli ingawa wengine wakitabasamu kama wanalia.
I smile mara laki tisa per day (joke).
Nasmile hadi usingizini(seriouse)
na hivi ninavyoandika nasmile.
 
wote hao wahusika uliwataja hapo juu..
mmmmhhh itabidi nikupigie nikupe story..
wote ni super kwa kweli...

hata siku moja usije jaji mtu ajili ya avatar ''
take care
AD

mama na wewe umeshakuwa VUVUZELA lini? waache wagombane, wewe si ndo KISURA kuliko wote? Usimwamshe alielala basi..
 
Hiyo power of the mind si ndio ilyochafua shuka zangu na umekataa kuja kuziosha lol!

hhahahahahhhahah lol
mmmmhh kwa kweli umenichekesha.....

mie sinikupa washing machine kwa x-mass..
hahah lol
 
kuna wengine evolution bado haijaisha. Wapo kwenye uchimpanzii.

mmmmhh sasa sijui niwaze nini tena mtu wangu..mie nilidhani tuko kizazi cha dot.com
kumbe kuna wengine tumewaacha nyuma hatari kwa kweli..
 
wewe twenzetu Zenji tukale maraha ubishi wa nini mimi na wewehatuuwezi...

haya tena mie ndo huyo na kitoa
bada basi kembamba changu..
nakuita hivyo sababu unataka jimama ..
tena yule yaliozidia kwa nyuma hadi anamtu anaemsaidia kusukuma kwenye troli hahahh lol
kibinda nkoe/
baadae mtu wangu..take care
 
haya tena mie ndo huyo na kitoa
bada basi kembamba changu..
nakuita hivyo sababu unataka jimama ..
tena yule yaliozidia kwa nyuma hadi anamtu anaemsaidia kusukuma kwenye troli hahahh lol
kibinda nkoe/
baadae mtu wangu..take care


Hamna shuruba mtu wangu....Nataka Jimama si unajua tena mtu wangu, halafu usiite Jimama unashusha hadhi tunaita VIDIGITAL siku hizi
 
UNA MAKENGEZA?:baby:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…