preta na michelle


ha ha ha ha ha ha haaaaaaa,asante sana Tunalazimika,nafikiri watu mmeenda mbali sana,yeye anachozungumzia ni avatar ndo anachokiona na kama sikosei ya preta ina miguu soft ya mdada na kichupi kwahiyo si sura.........hatujui.sasa hayo mambo ya watu kuzungumzia usifikiri uzuri wa avatar ndo wa mtu sijui yanatokea wapi? kwa kuwa pia inawezekana ikawa kama anavyosema hata nje ya avatar.You made my day Tunalazimika,thanks.
 

ucjal mamaa, karibu sana_hiyo ndo synote yangu
 

hapo nilipobold ungeweza kunielewesha ndio ningeweza kutoa maoni yangu......kwa sasa
 
hapo nilipobold ungeweza kunielewesha ndio ningeweza kutoa maoni yangu......kwa sasa
Vp bibie mzima wewe mambo yako! Watu wanazugika na avatar lol! Mcd you!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…