Pretoria: Yericko Nyerere akutana na Balozi wa Tanzania Nchini Afrika Kusini na kufanya naye mazungumzo

Pretoria: Yericko Nyerere akutana na Balozi wa Tanzania Nchini Afrika Kusini na kufanya naye mazungumzo

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Taarifa yake hii hapa
Screenshot_2024-07-19-17-45-30-1.png
Screenshot_2024-07-19-17-45-41-1.png
Screenshot_2024-07-19-17-45-52-1.png
Screenshot_2024-07-19-17-49-54-1.png


Nimefika Ubalozi wa Tanzania Jijini Pretoria Afrika Kusini kuaga kabla ya kuondoka katika nchi hii na kupokelewa kwa heshima kubwa na Balozi wa Tanzani Mh James Bwana na maafisa wa Ubalozi huo. Nimefanya mazungumzo na Balozi Mbwana kwa mambo kadhaa wa kadhaa ikiwemo mafanikio ya Mkutano wetu.

Pia nimetumia muda wa kukutana kwetu nikamkabidhi vitabu viwili cha Ujasusi wa Kidola na Kiuchumi na Kitabu cha Moscow Oparesheni Ukraine. Lakini kubwa zaidi ubalozi wamenipa heshima ya kufanya utalii wa ndani kwa kuzunguka jiji la Pretoria siku nzima na Viunga vyake ikiwemo kutembelea viwanja vya Ikulu ya Afrika Kusini.

Namshukuru Balozi kwa Mapokezi tangu nafika siku ya kwanza Airport Joberg na leo kunisindikiza hadi Airport kurudi home.
 
kwa mambo kadhaa wa kadhaa ikiwemo mafanikio ya Mkutano wetu.

yerickonyerere

Tumehitimisha mkutano wa 8 wa Watalaamu wa wa Masuala ya Uchunguzi na Upelelezi Duniani​

The 8th meeting of experts on investigative and intelligence issues in the world​

hapa Indaba Hoteli Jijini Johannesburg South Africa, Pamoja na mafunzo mbalimbali kutoka kwa majasusi waliobobea duniani, tumeweka maazimio kadhaa ya pamoja ikiwemo kuzishauri serikali za Afrika kurekebisha sheria za Usalama na kuruhusu Wapelelezi Binafsi kuanzisha uchunguzi, kufungua kesi na kuendesha mashauri mahususi katika mahakama za ndani na nje bila kuingiliwa na mamlaka za nchi.​

Pia tumeazimia kuhimiza mafunzo kwa vyombo vya kulinda sheria katika nchi kwa sababu ujasusi ni taaluma pana inayotembea kwenda mbele kila siku kulingana na mabadiliko ya teknolojia.​

Lakini kubwa kuliko yote, Ujumbe wa Tanzania tumefanikiwa kuishawishi jumuiya ya Ujasusi Duniani kwamba Mkutano ujao kati ya (Aprili au Juni 2025 utafanyika Tanzania Arusha, Na mkutano wa mwaka 2026 utafanyika nchini Slovenia.​

N.B​

Endelea kujisomea Kitabu cha “MOSCOW: Oparesheni Ukraine” kwa bei ya 150,000/= tu​

 
Sijui kama Chadema huwa wanamuelewa Yericko, au mpaka na yeye aje awashtukize watoke usingizini, akiwa kamaliza kazi
 
Taarifa yake hii hapaView attachment 3046488View attachment 3046489View attachment 3046492View attachment 3046525

Nimefika Ubalozi wa Tanzania Jijini Pretoria Afrika Kusini kuaga kabla ya kuondoka katika nchi hii na kupokelewa kwa heshima kubwa na Balozi wa Tanzani Mh James Bwana na maafisa wa Ubalozi huo. Nimefanya mazungumzo na Balozi Mbwana kwa mambo kadhaa wa kadhaa ikiwemo mafanikio ya Mkutano wetu.

Pia nimetumia muda wa kukutana kwetu nikamkabidhi vitabu viwili cha Ujasusi wa Kidola na Kiuchumi na Kitabu cha Moscow Oparesheni Ukraine. Lakini kubwa zaidi ubalozi wamenipa heshima ya kufanya utalii wa ndani kwa kuzunguka jiji la Pretoria siku nzima na Viunga vyake ikiwemo kutembelea viwanja vya Ikulu ya Afrika Kusini.

Namshukuru Balozi kwa Mapokezi tangu nafika siku ya kwanza Airport Joberg na leo kunisindikiza hadi Airport kurudi home.
Wengine hatumjui, ni yupi kati yao
 
Back
Top Bottom