Nyunyu JF-Expert Member Joined Mar 9, 2009 Posts 4,354 Reaction score 1,010 Sep 17, 2010 #1 Haki ya nani mimi siwezi chagua Prezident mzembe namna hii. teh tehe tehe...........!!!!!!!!
Ng'wanangwa JF-Expert Member Joined Aug 28, 2010 Posts 10,827 Reaction score 4,176 Sep 17, 2010 #2 Nyunyu said: View attachment 13860 Haki ya nani mimi siwezi chagua Prezident mzembe namna hii. teh tehe tehe...........!!!!!!!! Click to expand... Tatizo la huyu brother anachagua machalii zake kuwa wasaidizi. Ni ngumu sana kumstua panapokuwa na ishu isiyo sawa
Nyunyu said: View attachment 13860 Haki ya nani mimi siwezi chagua Prezident mzembe namna hii. teh tehe tehe...........!!!!!!!! Click to expand... Tatizo la huyu brother anachagua machalii zake kuwa wasaidizi. Ni ngumu sana kumstua panapokuwa na ishu isiyo sawa
Sir R JF-Expert Member Joined Oct 23, 2009 Posts 2,175 Reaction score 300 Sep 17, 2010 #3 Kura yangu kwa Dr Slaa na Chadema.
Zak Malang JF-Expert Member Joined Dec 30, 2008 Posts 5,404 Reaction score 239 Sep 17, 2010 #4 Anapelekwa kama vile gari la toy limetiwa funguo, na yote hii kwa uchu wa madaraka,=. Huwa hatulkii hata mara moja kupima, kutafakari, kuchunguza etc. It's very sickening!!!!!
Anapelekwa kama vile gari la toy limetiwa funguo, na yote hii kwa uchu wa madaraka,=. Huwa hatulkii hata mara moja kupima, kutafakari, kuchunguza etc. It's very sickening!!!!!
Bhbm JF-Expert Member Joined Oct 31, 2009 Posts 714 Reaction score 210 Sep 17, 2010 #5 Mi huyo jamaa alishanichosha kitaaamboo hata kusikia habari zake najionea kero tu.