Diamond yuko, hzo hela prezzo kazkuta diamond ka fight co wa kiume ni diamond tuache majungu
Huwezi kusimama ukapiga kelele about money,wakati umezikuta nyumbani.Maana yake wewe na dada yako wote ni sawa tu,wote walaini kama mlenda.Kwenye hiphop,ukisikia real Gs wakiongea kuhusu money,wako na maana yao,wame-hustle kutoka gheto life mpaka pale walipofikia.Sasa Prezzo ataongea nini!Kwanza watu wengi wanaopenda beef kila mara kama huyu Prezzo infact ni mashoga,wako na complex vichwani mwao,kwa hiyo wanataka jamii iwachukulie wao ni vidume.Ujumbe kwa Prezzo,najua unasoma humu,kama unaweza kamata soko la muziki,acha kugombana na wadogo zako.
Wacha uboya, haijalishi hela umeikuta au umeitafuta, zote ni hela, stop hating n work your ass out...wabongontunapenda porojo sana
Prezzoo ana hela ndefu amezaliwa na kukulia kwenye helaa,tofauti na domo aliyeanza kushika chapaa ukubwani pia prezzo ni class wakati domo ni mbagala levo,trust m class haiji kwa kupata visenti ukubwani
hapana domo la diamond lipo tofauti na prezoo, la prezoo limekaa poa kwa denda la diamond kupulizia uji wa mtoto huo ndo ukweli.
Wacha uboya, haijalishi hela umeikuta au umeitafuta, zote ni hela, stop hating n work your ass out...wabongontunapenda porojo sana
Mwanaume hasifiwi kwa hela za kuzikuta, anasifiwa kwa hela alizotafuta mwenyewe! Kwamba Prezzo mkwanja amekua nao inathibitisha kwamba kwamba Platinumz ni kidume coz' jamaa katokea from the scratch na bado katoboa! Na ukiondoa ukweli kwamba Prezzo kaingia kwenye game siku nyingi wakati Diamond just three years ago, basi hapo Diamond anakuwa juu zaidi labda useme kwamba mchiz amedumu kwa game for so long wakati no guarantee kama Diamond nae anaweza ku-survive muda mrefu kama Prezzo!Prezzoo ana hela ndefu amezaliwa na kukulia kwenye helaa,tofauti na domo aliyeanza kushika chapaa ukubwani pia prezzo ni class wakati domo ni mbagala levo,trust m class haiji kwa kupata visenti ukubwani
Mkuu Shardcole,Prezzo acha hizo Mkuu, Diamond ni mdogo wako so unatakiwa umchukulie poa even if alikosea.
hapana domo la diamond lipo tofauti na prezoo, la prezoo limekaa poa kwa denda la diamond kupulizia uji wa mtoto huo ndo ukweli.