Prezzo uso kwa uso tena na Jay Z wiki ijayo Staples Center jijini Los Angeles

Prezzo uso kwa uso tena na Jay Z wiki ijayo Staples Center jijini Los Angeles

bluetooth23

JF-Expert Member
Joined
Apr 8, 2013
Posts
348
Reaction score
326
Rapper toka Kenya Jackson Makini aka CMB Prezzo wiki ijayo atakutana tena kwa mara ya pili na Jay Z mkali wa Magna Carta Holy Grail kutoka Brooklyn Marekani ng'ambo ukiwa Manhattan city center ya New York. Wakali hawa watakutana katka program ya UN katka ukumbi maarufu uliopo Los Angeles California uitwao Staples Center ambao hutumiwa pia kwa mechi za Ligi kuu ya NBA na ni uwanja wa nyumbani wa LA Lakerz. Jay Z ambae ni balozi wa Umoja wa Mataifa atakutana na Prezo ambaye ni balozi kutoka Afrika aliyeteuliwa kutoka Big Brother Africa mwaka jana. Wakali hawa waliwah kukutana mara ya kwanza jijini New York na kupga pcha pamoja katka programu ya Umoja wa Mataifa. Prezzo pia jana amekana kumfaham msanii wa Tanzania Diamond Platnumz na kusema kuwa "THE ONLY DIAMONDS I KNOW IZ THAT ON MY NECK". Hyo ni baada ya Prezzo kumpoteza na kumfunika kabisa diamond jukwaani katka tamasha la matumaini tar 7 july lililofanyika uwanja wa taifa Dsm.
 
Azonto

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Hyo ni baada ya Prezzo kumpoteza na kumfunika kabisa diamond jukwaani katka tamasha la matumaini tar 7 july lililofanyika uwanja wa taifa Dsm.


Duuh kweli Diamond ana haters wengi,hiyo show ulihudhuria ama ulisimuliwa?Mbona unaongea kinyume hapo?Sijui kwanini wabongo hatupendi watz wenzetu wafanikiwe, kweli nabii hakubaliki nyumbani.Ona hapa Diamond anavyothaminiwa akiwa nje
Why Diamond is East Africa's Biggest Crowd-Puller | Ghafla!Kenya
 
Hyo ni baada ya Prezzo kumpoteza na kumfunika kabisa diamond jukwaani katka tamasha la matumaini tar 7 july lililofanyika uwanja wa taifa Dsm.


Duuh kweli Diamond ana haters wengi,hiyo show ulihudhuria ama ulisimuliwa?Mbona unaongea kinyume hapo?Sijui kwanini wabongo hatupendi watz wenzetu wafanikiwe, kweli nabii hakubaliki nyumbani.Ona hapa Diamond anavyothaminiwa akiwa nje
Why Diamond is East Africa's Biggest Crowd-Puller | Ghafla!Kenya

nikiulizwa kati ya prezzo na diamond unakubali kazi za nani nitakuambia diamond,si kwasababu ni mtanzania mwenzangu no,kwasababu jamaa anafanya mziki kweli na kazi zake zinaonekana,sijawahi kupenda nyimbo hata moja ya huyo prezzo cuz kwangu mimi namuona hajui kuimba zaidi ya kuongea ongea tu nakulazimisha fani,prezzo angekuwa anajielewa kidogo tu angefanya kitu kingine anachofit to the fullest kuliko huo muziki ambao hauwezi ata kidogo.
 
nikiulizwa kati ya prezzo na diamond unakubali kazi za nani nitakuambia diamond,si kwasababu ni mtanzania mwenzangu no,kwasababu jamaa anafanya mziki kweli na kazi zake zinaonekana,sijawahi kupenda nyimbo hata moja ya huyo prezzo cuz kwangu mimi namuona hajui kuimba zaidi ya kuongea ongea tu nakulazimisha fani,prezzo angekuwa anajielewa kidogo tu angefanya kitu kingine anachofit to the fullest kuliko huo muziki ambao hauwezi ata kidogo.

Huo ndo ukweli,lakini nashangaa wabongo kwa chuki zao wanataka kutuaminisha kwamba Prezzoo ni mkali kuliko Diamond.Watu wana hasira na Diamond kisa kapata success za haraka
 
Huo ndo ukweli,lakini nashangaa wabongo kwa chuki zao wanataka kutuaminisha kwamba Prezzoo ni mkali kuliko Diamond.Watu wana hasira na Diamond kisa kapata success za haraka

mchawi mchukieni lakini sifa zake mpeni, kupaa na ungo kazi.................diamond ndio msanii anaekubalika sana kwa sasa hapa nyumbani na huko ndiko kulikopelekea mafanikio yake ya haraka namna hiyo. huo ndio ukweli whether they like o not
 
Sasa Prezzo anaimba nini?Au kwa kusema diamond on my neck,hata wakinadada wa Kinondoni wanazo on thier neck.
 
Mmoja ni bilionea wa ukwEE na mwingine ni muuza sukuma wiki kutoka kenya
 
Back
Top Bottom