Pride Tanzania Yazidi Kuimarika, Sasa Inatoa Mikopo Binafsi Hadi Milioni 50!.

Pride wanaendelea kufanya kazi kutokana na uzaifu wa sharia za bank kuu. Ikumbukwe kuwa serikali ina stake ktk pride. Lakini kwa kutojali wateja kwa sasa wanapata adha kubwa sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…