Prince Dube kuanza kupachika mabao leo.

Prince Dube kuanza kupachika mabao leo.

NgerukeAbra

JF-Expert Member
Joined
Sep 5, 2022
Posts
1,336
Reaction score
2,008
Amani ya Bwana iwe juu yenu waungwana, tumsifu Yesu kristo, Mwanakondoo ameshinda , Asalaam aleykum....

Sina maneno mengi ila Prince Dube kuanza kufumania nyavu Leo katika mechi ambayo watoto wa jangwani watapata ushindi wa kuanzia mabao manne na kuendelea.

Sasa tuache ubishi wa kizalamo , kiruguru au kiha subirini dakika tisini halafu mje kuchangia uzi huu.

Nawatakia siku njema yenye baraka tele!
 
Amani ya Bwana iwe juu yenu waungwana, tumsifu Yesu kristo, Mwanakondoo ameshinda , Asalaam aleykum....

Sina maneno mengi ila Prince Dube kuanza kufumania nyavu Leo katika mechi ambayo watoto wa jangwani watapata ushindi wa kuanzia mabao manne na kuendelea.

Sasa tuache ubishi wa kizalamo , kiruguru au kiha subirini dakika tisini halafu mje kuchangia uzi huu.

Nawatakia siku njema yenye baraka tele!
LabdA Bao la Punyeto.
 
Ushindi wa Kuanzia mabao manne [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
FB_IMG_17309073447621654.jpg
 
Back
Top Bottom