NgerukeAbra
JF-Expert Member
- Sep 5, 2022
- 1,336
- 2,008
Hiv huu uzushi umekua maarufu tayari??Si mpaka kipindi cha pili wakichomwa sindano, kunywa maji na Kula matikiti wakiwa wameziba cctv camera😀😀😀😀😀😀
We unaona ni uzushi ule eti!!?Hiv huu uzushi umekua maarufu tayari??
Ahahahaha..mimi sitakaa niamini hata kidogoWe unaona ni uzushi ule eti!!?
LabdA Bao la Punyeto.Amani ya Bwana iwe juu yenu waungwana, tumsifu Yesu kristo, Mwanakondoo ameshinda , Asalaam aleykum....
Sina maneno mengi ila Prince Dube kuanza kufumania nyavu Leo katika mechi ambayo watoto wa jangwani watapata ushindi wa kuanzia mabao manne na kuendelea.
Sasa tuache ubishi wa kizalamo , kiruguru au kiha subirini dakika tisini halafu mje kuchangia uzi huu.
Nawatakia siku njema yenye baraka tele!
Kakosa gari peke yake na kipa😀hawakawii kumfungashia viragoNisameheni Wana jukwaa kwa uzI huu mganga wa Rufiji alinidanganya.