Habari ya usiku wakubwa. Leo nimejikuta nipo katika mood ya kuwasilisha mada ya yenye kichwa hicho hapo juu.
Je ni kweli kwamba nadharia hiyo ndio sababu au miongoni mwa sababu ya wanasayansi kuupinga uwepo wa Mola muumba kwa maana ya kuwa yeye ndio chanzo wa kila kilichopo hapa duniani ?
Lakini je ni kwelo au kuna haja ya yule wa mwanzo muhimili kuwa na chanzo ?
Leo nataka tujikite kwenye hii nadharia na kuleta hoja zenye nguvu na kielimu.
Leo nataka tuiweke kando au tuitupilie mbali ile imani ya wakana Mungu kwa kukataa kwao uwepo wa Mola mlezi kisa kuna mabalalaa na dhiki hapa duniani na mfano wake.
Sababu nadharia hii ni maarufu sana,hapa sina haja ya kuiarifisha nadharia hiyo.
Nipo ....
!
Je ni kweli kwamba nadharia hiyo ndio sababu au miongoni mwa sababu ya wanasayansi kuupinga uwepo wa Mola muumba kwa maana ya kuwa yeye ndio chanzo wa kila kilichopo hapa duniani ?
Lakini je ni kwelo au kuna haja ya yule wa mwanzo muhimili kuwa na chanzo ?
Leo nataka tujikite kwenye hii nadharia na kuleta hoja zenye nguvu na kielimu.
Leo nataka tuiweke kando au tuitupilie mbali ile imani ya wakana Mungu kwa kukataa kwao uwepo wa Mola mlezi kisa kuna mabalalaa na dhiki hapa duniani na mfano wake.
Sababu nadharia hii ni maarufu sana,hapa sina haja ya kuiarifisha nadharia hiyo.
Nipo ....
!