Principle tano za kuzingatia napopiga punyeto usiku..

mkuu habari haikunivutia ila uku mwisho ulivyomalizia nimecheka hadi watu wa pembeni yangu wamenishangaa...nashukuru niliacha mchezo huo mapema..
 
Hahaaaaha namba 5 ni kali
 
Kibongo bongo mtu wa form two ana miaka 15, umempita miaka 10 hivyo wewe haujazidi miaka 25.
Bado unapiga punyeto kama main dish?
Tathmini nzuri. Kijana ndo anakuwa ana 24 au 25
 
Huu mchezo una nguvu za ki free mason c bure yaani
L o o !
Masikini JF tuliizoea kujifunza Mambo mengi ya maana, sasa ndio tumefika hapa?
Tujifunze nini hapo? Huu Ndio muelekeo wa TZ ya viwanda? Poleni viongozi wetu, mna kazi mzito kutufijisha huko Canan mnakokusudia.
 
L o o !
Masikini JF tuliizoea kujifunza Mambo mengi ya maana, sasa ndio tumefika hapa?
Tujifunze nini hapo? Huu Ndio muelekeo wa TZ ya viwanda? Poleni viongozi wetu, mna kazi mzito kutufijisha huko Canan mnakokusudia.
Umekusudia nn hapo
 
Hapo hapo,, kuna madam alikua mke wa mwalim ben physics,,,, yule mwanamke alikua kajazia maroka nibalaaa

Ilikua akipita tu anachunga chunga tung'ombe twao twakizungu
Ujue usiku lazima nimle bafuni

Mimi ndio liewahi kuvunja bomba la kuogea Mle SINA HOUSE,

iikua napenda kulishika wakati nashusha wazungu

Siku moja nikashuka nalo bwana

TABORA boy's siwez isahau
 
dah.. waboyzia ni hatari kwa puli
 
Hahahahahahaa dah kwamba ukitaka kupizi unanyakua dekio! Hahahaha my friend sipati picha hiyo sura yako huwa inafanana na mtu alieramba NDIMU AU LIMAO
 
Mimi ni mtumishi. Sitarajii kuoa leo wala kesho.
Hivo punyeto ni inevitable kwangu. Unafaham Maana ya inevitable lakini??

Mtumishi Mcharo
Sawa mkuu ukishapata madhara ruksa kuwasiliana nami kwa ushauri na kupata dawa!
 
Hongera ila ukifika miaka 40 jogoo apandi mtungi uanze kutafuta Dawa za kuongeza nguvu huku tezi dume ikikungojea.
 
haahaahahaaaa,,dah no 5 imefanya nicheke kwa nguvu snaaaπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…