Printer 4 zinazohitaji matengenezo zinauzwa;

Printer 4 zinazohitaji matengenezo zinauzwa;

Seneta Wa Mtwiz

JF-Expert Member
Joined
Sep 23, 2013
Posts
3,635
Reaction score
4,160
Nina printer 4 ambazo nimezitumia kwa nyakati tofauti, ila sifanyi matengenezo pindi ziharibikapo.
Kwa anayehitaji kuzitengeneza na kuzitumia au kupata spare original kutoka kwenye hizo printa, aje azinunue;

1) Epson L805,
tatizo: printhead
(naiuza 250,000/-),

2) Epson L382,
tatizo: pickup roller
(naiuza 150,000/-),

3) Epson L3110,
tatizo: Scanner & pick-up roller
(naiuza 150,000/-),

4) CANON PIXMA 3411
tatizo: printhead
(naiuza 150,000/-).

Simu: 0686546504
Location: Bagamoyo.
View attachment 3223015View attachment 3223012View attachment 3223014View attachment 3223013
 
Back
Top Bottom