By Mwandishi Bora
Member
- Jul 27, 2024
- 26
- 12
PRISCUS TARIMO BINGWAA MAMBO UNAYO FANYA TUNA YAONA MBUNGE WETU ANAFAA HATUMUACHI IMETIKI NJE NDANI
Mapema leo mbunge wetu PRISCUS TARIMO BINGWAA amekabidhi gari maalumu la kubeba wagonjwa ambulance la pili katika Hospitali ya Rufaa ya Mawenzi, mpaka sasa ameomba magari tano hapa Moshi Mjini na amekabidhi tayari.
Sisi Moshi Mjini ni mashuhuda wa ile tuzo ya Goalkeeper aliyopewa Rais wetu Dkt.Samia Suluhu Hassan juzi kwa mafanikio makubwa sana katika sekta ya Afya.
Yamefanyika mengi sana kule KCMC, Mawenzi Hospitali, Hospitali ya Wilaya, Vituo vya Afya, Zahanat na bado kazi inaendelea.
Asante sana Mama, Asante sana Mh.Rais MAMA SAMIA SULUHU HASSAN
CCM HOOYEEEEE
MBUNGE HOYEEEE
Umoja ni ushindi
Kazi iendelee!
BY ✍🏾Mwandishi Bora
Mapema leo mbunge wetu PRISCUS TARIMO BINGWAA amekabidhi gari maalumu la kubeba wagonjwa ambulance la pili katika Hospitali ya Rufaa ya Mawenzi, mpaka sasa ameomba magari tano hapa Moshi Mjini na amekabidhi tayari.
Sisi Moshi Mjini ni mashuhuda wa ile tuzo ya Goalkeeper aliyopewa Rais wetu Dkt.Samia Suluhu Hassan juzi kwa mafanikio makubwa sana katika sekta ya Afya.
Yamefanyika mengi sana kule KCMC, Mawenzi Hospitali, Hospitali ya Wilaya, Vituo vya Afya, Zahanat na bado kazi inaendelea.
Asante sana Mama, Asante sana Mh.Rais MAMA SAMIA SULUHU HASSAN
CCM HOOYEEEEE
MBUNGE HOYEEEE
Umoja ni ushindi
Kazi iendelee!
BY ✍🏾Mwandishi Bora