Puyaaaa...TUCO ndio wale mapsychoTuco
Bro wu tang napata wapi??nimeona juu tu episodes za mwanzoPrison break ni kali ila kuna namna flani haina uhalisia flani wa life la gerezani nimeangalia prison break zaidi ya mara 3 kwa upande wangu ule mziki wa Sona ndo nauelewa zaidi
Breaking bad ni movie moja kali sana kuwah kupikwa kweny huu ulimwengu kwanza hutakiwi kuiringanisha prison break na breaking bad na moto wa breaking bad unaanzia season ya pili alafu hii kitu ipo real sana yani ni mambo ambayo yanafanyika kweny maisha ya kawaida
Me binafsi ukiniwekea prison break na life in OZ, nitaipa Oz kwasababu ndo inamatukio halisia ya jera
My list
-Breaking bad
-peak blinder
-Better call saul
-son of anarchy
-the wire
-sopranos
-viking
-Game of thrones( mbaya mwishoni)
-life in Oz
-prison break
-Taboo
-Wu~tang clan
Uko wapi? Ila ina season 2 tuBro wu tang napata wapi??nimeona juu tu episodes za mwanzo
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Jamaa akajidonetia milion za kutoshaa kwenye Fund rising programme...Mzee Walter anaingia ndani anakuta watu wamejaa wanamsubiri yeye
Baada ya kuwaskia wamamletea habari za kumshawish akubali kufanyiwa chemotherapy Kwa ajili ya matibabu yake ya Cancer
Mzee akawa anakaza kuwa ye hataki kufanya chemotherapy...! Ndipo dogo janja Walter Jr akaingilia Kati
Akaanza...! Can you please stop... Stop ...stooop being a Pussy [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Watu wote wakaishia kutazamana hiki nini tena
Ahahaha DEA yule shem wake Walter alitaka kumfundisha dogo mtt wa Walter kuhusu effects za drugs akaitiwa malaya aeleze alianza vp kutumia madawa ile malaya kasepa DEA agent anamuuliza dogo "so, what do you think'' dogo akamjibu "Cool'' Jamaa likabaki likaona hamna kazi apa[emoji16][emoji16]Jesse Pinkman..na DEA agent mwenye makeke Hank Schrider..walinikosha sana kwenye Breaking Bad.
Wafuatilie vizuri sana Jesse na Mzee Walter...Mkuu The Knowledge Seeker nimeamua kupoteza muda kuitazama ili nijiridhishe maana nimekuwa nikisema Hakuna Series kali kama Prison Break ila naishia kutukanwa kwamba sizijui series kali na wanasema bila kupepesa Macho ya kwamba Breaking Bad ni bonge moja la series,ndiyo maana nataka ninihakikishie halafu nitakuja na conclusion,Mpaka sasa kwa hizi season 1 kila upande,kwakweli PRISON BREAK naipa 10/10 na hiyo BREAKING BAD naipa 2.9/10.
Kabisa. Kuna yule Babu Mike,na Saul(Mzee wa You Better call Saul.Nafikiri Breaking Bad hujawahi kuiona wewe, sikatai Prison Break ni kali lak Breaking Bad ni mwisho pale, Japo season 1 unaweza usiielewe..
Angalia huo mzigo..mimi niliufuta sana.Ok sawa sawa nimekupata Mkuu. Inaonekana ina umafia mwingi
Na kigari chake cha kizamani, sura ya Probox 'mchomoko'😀Ila Guss Fring alikua mafia haswa ila anaonekana falaaaaaa[emoji3][emoji3]
OZ kali sana, The Wire niliishia Season 2 ngoja nianze upya niiangali mpaka mwisho..dogo Marlow aliwahangaisha wakongwe hawakuamini.. The Sopranoz ndio naangalia sasa hivi season 1, hii ninayo complete nimeichukua majuzi hapa...Six Feet Under ngoja niitafute..mizigo ya zamani mitamu sanaSeries za HBO ya mwanzo mwanzo huwezi fananisha na hizi za siku hizi.. my first tv show to fall in love with was prison break but nikaja kugundua kuna vitu vikali sana hata kabla ya prison break na baada pia...
Cheki the wire... sopranos.. OZ.. six feet under