OMOYOGWANE
JF-Expert Member
- Dec 30, 2016
- 4,701
- 11,920
Hii timu ilisababisha Mwamnyeto aanze kusugua benchi pia ikasababisha metacha ale umeme (red card) na sidhani kama atakaa golini tena.
Leo sidhani kama manula ataendelea kuwa hapo simba.
Golikipa wao anajiamini ikiwapendeza viongozi wa YANGA tuleteeni huyu kipa atatufaa sana maana kuna vitu anafanya unaona kabisa ni kipaji sio juhudi.
Leo sidhani kama manula ataendelea kuwa hapo simba.
Golikipa wao anajiamini ikiwapendeza viongozi wa YANGA tuleteeni huyu kipa atatufaa sana maana kuna vitu anafanya unaona kabisa ni kipaji sio juhudi.