Kabisa mkuu..pia..Kuna wanafunzi wanasherekea kupata 0KILA club inaweza kusherekea kwa level yake hata Kama imeshika [emoji188][emoji3593]
Lkn wananchi walifika nchi ya ahadiSimba haijajitahidi kuvuka mto uliokuzamisha kule Champions League na hatimaye kuangukia Losers League?
Mshindi wa pili ndo nchi ya ahadi? Na bado Simba inawazidi ranks kule CAF.
Yaaah mkuu..... walifika final....( Kileleni)Mshindi wa pili ndo nchi ya ahadi? Na bado Simba inawazidi ranks kule CAF.
Huyu na komwe lake anawaabisha sana warombo wenzake kwa kale katabia kake kachafuPrivaldinho: Simba day bila taji lolote ni Zindiko
Wakati tuluiwa kwenye maandalizi heavyweight ya siku ya Simba day Kuna kauli kadhaa zimetolewa
1. Tamasha bila kombe ni kitchen party
2. Tamasha bila medali ni Zindiko
Je, kuna ukweli kwenye kauli hizi?
View attachment 2709480
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Bila kumtaja bwanako Rage husikii rahaNgoja vijana wa Rage waje wakiwa wamefura kwa hasira. Watamtukana matusi ya nguoni, mpaka atajuta kuzaliwa.
Singida imesababisha nchi imekosa dola.Singida Fountain nini sijui walipofanya tamasha lao walikuwa wameshachukua kombe gani? Kwanini huyu mpuuzi hakupost hivyo dhidi ya Singida? Pumbavu sana.
Tabia Gani mkuuHuyu na komwe lake anawaabisha sana warombo wenzake kwa kale katabia kake kachafu
Pamoja na hayo mnaanzia chekechea CAF. Wakubwa wenu wananzia 2nd round
Hata asingesema.....bado Simbwa dei ipoUpande mmoja kaponda lakini upande wa pili anapiga promo taarifa hasa mashabiki wa Uto kua kuna Simba day.
Hatuongelei historiaHaya ndio matatizo ya akili yanayoimbwa kila kukicha hapa nchini.
Yaani mtu kama prv ambaye mi naamin angalau kidogo mpira wetu kivyetu vyetu anaujua ndiye analopoka kiasi hiki?
Kwamba hajui kama hii sio sherehe bali utamaduni wa simba?
Kwamba hajui kua tamasha hili lilianza hata kabala hajamaliza shule na alikuwa analisikia kila mwqka bila kujali mafanikio.
Kwamba hajui kuwa hata mwajiri wake wa sasa alifanya tamasha kwa miaka minme mfululizi bila kuonyesha chochote
AKAPAIME AFYA YAKE KWANZA
Pamoja na hayo ....makolo mtaishia robo....[emoji23][emoji23] Wananchi one way to finalPamoja na hayo mnaanzia chekechea CAF. Wakubwa wenu wananzia 2nd round
Tunamshukuru Priva kwa kuitangaza Simba day kwa njia ya kuiponda.
Labda fainali ya CUF ya Lipumba. Maana mwaka huu hakuna kuingia kwa gia ya looser kule shirikishoPamoja na hayo ....makolo mtaishia robo....[emoji23][emoji23] Wananchi one way to final
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app