Wadau nipeni ushauri kuna ndugu yetu ni private candidate amepata C tatu, english, kiswahili na civics
nikisema aende A level combination inakataa maana kapata F ya history
Karibuni
Wadau nipeni ushauri kuna ndugu yetu ni private candidate amepata C tatu, english, kiswahili na civics
nikisema aende A level combination inakataa maana kapata F ya history
Karibuni
Arudie tu....hakuna short cut
wewe nawe hujui kumtia mtu moyo yaani majibu gani hayo unayojibu si umwambie vyema ili aelewe na aridhike basi haa! usiwe hivyo bhana mtie moyo mwenzio kwani amechanganyikiwa anataka amsaidie ndugu yake isi kiivyo, sisi huku lofisiini kwetu bosi wetu mtoto wake amefeli akamfokea sana leo hii naandika hapa katoroka home na hajui aliko, yani bosi wetu kachanganyikiwa ile mbaya mpaka anajuta kwanini alimfokea mtoto wake kiasi kile, sasa wewe mwambie kiungwana na mjibu vyema basi jamani
wadau nipeni ushauri kuna ndugu yetu ni private candidate amepata c tatu, english, kiswahili na civics
nikisema aende a level combination inakataa maana kapata f ya history
karibuni