toroka uje mjini
JF-Expert Member
- Mar 29, 2017
- 1,584
- 2,111
Duuhh...anaenda kibiti auHakikisha gari haikosi kitambulisho chako,namba yako ya simu,maji ya akiba unaweza ukaweka carton 1 siti ya nyuma,maji ya emergency kama lita 5 hivi,kisu panga au sime,USB cable,Rungu,Tochi,Filimbi,Kiberiti,Pain killer kama Panadol,tairi ya akiba ya maana.Mengine tutakumbushana panapo majaliwa
Mkuu, huyu bwana kwani anaenda vitani?? πππHakikisha gari haikosi kitambulisho chako,namba yako ya simu,maji ya akiba unaweza ukaweka carton 1 siti ya nyuma,maji ya emergency kama lita 5 hivi,kisu panga au sime,USB cable,Rungu,Tochi,Filimbi,Kiberiti,Pain killer kama Panadol,tairi ya akiba ya maana.Mengine tutakumbushana panapo majaliwa
Kwa barabara ZA TANZANIA NA SPEED HIYO UNATAFUTA KABURIKuna chalii ni fundi magari anatokaga Dar-Arusha kwenye saa 10 alfajiri...
By saa 3 asubuhi yupo Arusha mjini.. Muhimu uwe makini tu barabarani, jamaa anatembeza noah speed 140 hapo ndio wastan wake akipata mnyooko anakandamiza 160km/h
Ukipatwa na majanga ndio utajua nlioandika hapo kina umuhim ganiMkuu, huyu bwana kwani anaenda vitani?? πππ
Mambo vipi wakuu...
Nimeona nililete hili swali hapa coz mara nyingi limekuwa likinisumbua sana... Na hii inatokana na historia yangu ya huko nyuma mana gari ya kwanza kuimiliki ilkuwa ni spana mkonon/ESCUDO.. Yana niliujua ufundi pasipo kupenda ilifikia kipindi nikakosa kabisa mzuka na gari kwa kero nilizokuwa naexprience...
Zile effects leo zimenifanya nije kuuliza hapa but gari niliyonayo now ni RAV4, 2004, 1750CC, VVTi Mzigo ni wa hivi karibuni..
Safari zangu ni mara 1 either 2 kwa mwezi Dar- Arusha- Mwanza then Dar
Nimezingatia matairi, break, makorokoro ya alama, fire, spana,
Belt, jack n.k yote yapo
Nataka nitoke nikiwa mwenyewe kwa kuanzia Dar Arusha na ndyo long safari yangu ya kwanza... Je kuwa mwenyewe kwa safari yote hiyo ni salama???
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilienda nae ile safari nilitamani kushuka mzee maana hayo mabreki sasa kwenye matuta doh.Kuna mtu ataitwa mjane sio mda mrefu kupitia dereva uyu.
Enzi za ujana wangu nilikua natemba 180KM/H nikiwa na SUBARU, nashukuru MUNGU leo hii bado ni mzimaKuna chalii ni fundi magari anatokaga Dar-Arusha kwenye saa 10 alfajiri...
By saa 3 asubuhi yupo Arusha mjini.. Muhimu uwe makini tu barabarani, jamaa anatembeza noah speed 140 hapo ndio wastan wake akipata mnyooko anakandamiza 160km/h
Subaru ni gari nzuri naskiaEN
Enzi za ujana wangu nilikua natemba 180KM/H nikiwa na SUBARU, nashukuru MUNGU leo hii bado ni mzima
Ipo vizuri kwa kweliSubaru ni gari nzuri naskia
Kama hakuna anayekufuatilia nyuma na Toyota Land Cruiser nyeupe au Premio ni salama kabisa kusafiria mwenyewe kwenda huko mashinani / upcountry / mikoani Mkuu.
Ukipatwa na majanga ndio utajua nlioandika hapo kina umuhim gani