ismailyy
Senior Member
- Jul 26, 2014
- 123
- 18
WanaJF nimehitimu kidato cha nne 2013 nimept div III nilikuwa sayansi na nimefaulu hvyo vpnd nikawa nimeomba
wizarani kujiunga na mafunzo maalum ya ualimu tarajali ngazi ya stashahada masomo ya sayansi na hisabati km ilivyotangazwa na wizara ila inackitisha wametoa majibu ila hiyo kozi wameitupa mbali hvyo basi naomba mwenye no: za simu wahusika chuo cha ualimu kirinjiko au al haramain au private high school anisaidie mungu atamlipa
wizarani kujiunga na mafunzo maalum ya ualimu tarajali ngazi ya stashahada masomo ya sayansi na hisabati km ilivyotangazwa na wizara ila inackitisha wametoa majibu ila hiyo kozi wameitupa mbali hvyo basi naomba mwenye no: za simu wahusika chuo cha ualimu kirinjiko au al haramain au private high school anisaidie mungu atamlipa