komredi ngosha
JF-Expert Member
- Jan 11, 2011
- 382
- 71
demu wakekabla sijaku-pm, nataka kufahamu unataka nipeleleze kitu gani?
Upelelezi wa aina hii mwambie tusije tukalaumiana baadayedemu wake
kabla sijaku-pm, nataka kufahamu unataka nipeleleze kitu gani?
demu wake
wizi. ndani ya wiki 1 katika sehemu moja(hostel) laptop 5 na simu 8 vimeibwa. Response ya police ni ya kusua sua, we need someone who can get it done fast.
we wa wapi? yaan kazi ya upelelez unaair hovyo hovyo..hii huwa ni cofidential..assume ndo km me ndo nmekwiba hzo machines alaf ndo nkasoma hii thread?..tumia akili!
hii itakuwa udom ,hili tatizo nimelisikia sana hivi karibuni.wizi. ndani ya wiki 1 katika sehemu moja(hostel) laptop 5 na simu 8 vimeibwa. Response ya police ni ya kusua sua, we need someone who can get it done fast.
yap huyu jamaa hata hicho chuo anachosoma sidhani kama kina usajili....au hata kama kina usajili nna wasi wasi na uwezo wake wa kufikiri....