Private Takeovers Of Tanzanian Football Clubs

lesedy

New Member
Joined
Mar 20, 2023
Posts
1
Reaction score
0
Wana JamiiForums nina hii hoja, ''Je Kuna ugumu wa private sector kujihusisha na uwekezaji wa mpira wa miguu nchini Tanzania?"

Kuachana na hoja ya kwamba mpira haulipi lakini je kuna '' bureaucracy '' ndani ya mfumo wa mpira wa miguu unaofanya uwekezaji kuwa mgumu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…