Problems of Getting Lump Sum PENSION

Problems of Getting Lump Sum PENSION

Huyu atakuwa aliruka steji, mambo ya shule kwanza starehe baadae, hasar yake ndiyo hiyo, nadhani hapo analipiza aliyoyaacha ujanani
 
Huyu atakuwa aliruka steji, mambo ya shule kwanza starehe baadae, hasar yake ndiyo hiyo, nadhani hapo analipiza aliyoyaacha ujanani

Ha ha ha ha kwa hio unanishauri nini mimi ambaye niliruka stage?? ila bado sijapata mafao??
 
Ha ha ha ha kwa hio unanishauri nini mimi ambaye niliruka stage?? ila bado sijapata mafao??


Inabid upewe ushaurinasaha jinsi ya ku2mia pensionyako la sivyo utarudi barabarani kuomba
 
Huyo hachukui miezi 6 atakuwa amefulia na kufa haraka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…