Procedures for KIDNEY donation

deNavigator

Member
Joined
Sep 22, 2018
Posts
49
Reaction score
63
Guys I want to know what are the procedures to follow when one wants to donate a kidney... and how far is it safe to the one who donates.?

Am asking beacause if I develop understanding on the particular issue I may take a step to donate mine.
 
Unataka ku "donate" kwa hela au bure mkuu?
Kama ni bure kuna taratibu na kama ni hela pia kuna taratibu.
 
Unataka ku "donate" kwa hela au bure mkuu?
Kama ni bure kuna taratibu na kama ni hela pia kuna taratibu.
To my thoughts nikielimishwa kua ni bure 100% siwezi kuchangia. as in my prior expectations ni kua uwezo wa kufanya kazi au kupambana utapunguai Hivyo ni lazima niwezeshwe kujikimu there after the process.

Kitu najiuliza ni juu ya maisha yangu (kiafya) after the process na percentage of survival kwangu mimi.
 
Sijafahamu kuhusu hali ya afya baada ya kutoa figo, hilo mpaka wataalam. Ila ninachojua mtu anaweza ishi na figo moja kwa muda mrefu, japo sijajua "complications" ya kuishi na figo moja.

Utaratibu ni rahisi, fika Muhimbili omba kuonana na mkuu wa idara au mkuu wa kitengo cha mahusiano ya umma. Wao wana wagonjwa hapo wanaohitaji transplant za figo, watakupa utaratibu mzuri kutoka kwa mhitaji na mtafikia makubaliano. Wao watakutafutia mgonjwa "mteja" anaeweza kununua figo toka kwako mtakubaliana.
 
We jama ni bonge la mstaarabu.
Thanks.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…