Habari waungwanaNaomba msaada wa hili swala kwa wazee wa fikra pevu, kuna rafiki yangu alizaliwa nje ya nchi baadae familia ikarudi tz, akasoma primary mpaka college hapa nchini, juzi alienda kuomba passport akakutana na waungwana wakamtisha wakamwambia yeye sio raia je process ya kuomba passport ikoje,viambatanisho gani aweke, anacheti cha kuzaliwa cha hiyo nchi akikiweka kitamsaidia au ndio kitaharibu?natanguliza shukrani