kwa kufata process utahangaika sana. utaenda kuapa kwa mwanasheria, utapeleka barua ya mwajili, cheti cha kuzaliwa, barua ya balozi, alfu 50 ada, kama unaenda kusoma barua ya shule, passport size nne, unaenda kuapa mahakamani, mwishonimwishoni ndo unapelekwa fingerprint. baada ya hapo ndo utasubilia kama wiki tatu hivi. utaenda pale unasign unapewa pass yako. kama una hela ya bia nipm nikupe maelekezo vizuri la sivyo viatu vitaisha kwa safari za posta to kurasini kama upo dar.mbinga utabidi uje dar kwanza.