MKILINDI
JF-Expert Member
- Feb 15, 2012
- 791
- 1,120
kwa mtu anayefahamu si mbaya kunielekeza process zote zinazotakiwa kufuatwa kwa kupata scholarship nje ya nchi level ya masters..
naamini majibu yatajibu maswali haya;
aina za scholaship..?
Nawezaje kuomba chuo abroad?
Kipi kinatangulia na kipi kinafuata kati ya kuomba scholaship au kuomba chuo?
Kuna mitihani yoyote?
Kuna gharama ndogondogo?
Busara itumike wadau..kwa anayefahamu.
naamini majibu yatajibu maswali haya;
aina za scholaship..?
Nawezaje kuomba chuo abroad?
Kipi kinatangulia na kipi kinafuata kati ya kuomba scholaship au kuomba chuo?
Kuna mitihani yoyote?
Kuna gharama ndogondogo?
Busara itumike wadau..kwa anayefahamu.