Aende tu huyu bonga maslahi hata kina nahreal wanazinguliwa sembuse huyo kima mmoja..
Kwanza huyu ndo kamtengenezea harmo hayo ma "hainstui " kushoto kulia sijui aah mara hii anatka maslahi makubwa namna hiyo? Kina s2kizzy wasemeje sasa?
Nimemuona kaitisha press conference .
Siku hizi bongo mtu akijisikia kuitisha press conference !!!!
Bonga ni nani aende zake huko
Anasema anaanza kuimba rasmi.
Watu na waandishi wa habari wamsapoti