Money Stunna
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 13,053
- 6,304
ntakunya hapa mpaka songea namjua sana huyu dogo yani huyu ni sulu bin sulu.
Haah,na mimi naandaa maji ukinya
ntakunya hapa mpaka songea namjua sana huyu dogo yani huyu ni sulu bin sulu.
Hahaa usiniambie upo Dar. Maana Dar to Songea Km 800+ :msela:
ntakunya hapa mpaka songea namjua sana huyu dogo yani huyu ni sulu bin sulu.
Sasa si utachafua mazingira,au utapita nyumba moja mpaka nyingine kuomba choo?
Unga unawalipa,anajua ana trip zake kadhaa ananua mercedez benz yke na mabata tele.Kwa ndege hataweza madon wao wenyewe wanashindwa wawe hao mapunda.
Siyo kila mtu akifanikiwa ni madawa watu wanapiga kazi wewe waza madawa tu.
Pia nina uhakika uwezo wa kununua anao zile ndege ndogo tatizo uendeshaji wako unatumia gharama sana kuanzia mafuta. Bima. Kumlipa rubani.service. etc
Bei si kubwa sana
tatizo uendeshaji wako unatumia gharama sana kuanzia mafuta. Bima. Kumlipa rubani.service. etc
Bei si kubwa sana
ntakunya hapa mpaka songea namjua sana huyu dogo yani huyu ni sulu bin sulu.
Sijui atawasiliana kwa kiswahili/kinyakyusa na waongoza ndege akiwa huku angani,mimi Maimuna napita tuProducer Machachari wa Hapa Bongo Anaejulikana kama Lamar Amehabarisha Radio Moja hapa Bongo Kuwa ana Mpango wa Kununua Ndege yake Binafsi ili kumrahisishia Mizunguko yake Sehemu Mbali Mbali ...Amesema hizo ndoto alikuwa nazo muda mrefu na Ameshaanza Kuongea na Wauzaji wa ndege kuona kama atapata Moja ...Big Up Lamar...Utakuwa msanii wa kwanza Tz kuwa na Ndege Binafsi....
Mwanamuziki Mwingine mwenye ndoto kama hizo ni Ay ambae nasikia ameanza kujifunza kuendesha ndege ili kujiandaa atakapo nunua yake .....