warumi
R I P
- May 6, 2013
- 16,218
- 18,440
Producer Sheddy Clever ambae ni Mwandaaji wa Wimbo wa Diamond Number 1 uliochukua tuzo nyingi katikatuzo za Kilimanjaro Awards zilizofanyika juzi, Ameonyeshwa kukerwa kwa kukosa tuzo ya Producer bora Wakati wimbo huo umechukua tuzo nyingi ikiwemo ya Wimbo bora.
Amekaririwa akisema, "Sasa ndugu zangu inakuwaje nisipewe tuzo bora wa music wakati Number one imekuwa wimbo bora wa wwaka na imemfanya Diamond apate tuzo saba.
Amekaririwa akisema, "Sasa ndugu zangu inakuwaje nisipewe tuzo bora wa music wakati Number one imekuwa wimbo bora wa wwaka na imemfanya Diamond apate tuzo saba.