Wajitambulishe kwenye nyimbo. Kama maadishi ya producer filamuUmeshaambiwa wapiga kura tz wana iq ndogo
Hata Man Maji.. alilia hivohivo 20% alipochukua tuzo 5 yeye akaambulia patupu...
Kweli wimbo 1 tuu.Hivi huo wimbo asingeimba daimond angesikika kweli sababu producer bora toka na mtu ambaye hana jina tujue kweli hapo aliumiza kichwa.huyu wala si producer bora kabisa na hatokuja kushinda hiyo tunzo. Yani anataka apimwe kwa wimbo mmoja?
Wakulalamika ni Marco Chali si huyu.
Mhhhhj akomeee nae aimbeee si alilipwaa kwan alitengeneza bure tuzo ni majaaliwaaa
nashanga! mbona mpiga picha hod hajaja hapa kulalamika kuwa mpicha bora wa domo?
huyu wala si producer bora kabisa na hatokuja kushinda hiyo tunzo. Yani anataka apimwe kwa wimbo mmoja?
Wakulalamika ni Marco Chali si huyu.
True watakuja wataondoka na hizo hit zao mojamoja honestly Marco Chali ndiye producer aliyeweza kusimama kwa kizazi hiki tangu 2006 hadi leo anatoa nyimbo kali aliambulia tu ile ya 2008. Bado najiuliza had leo hivi tuzo ya producer bora wapiga kura wanaangalia sura au Skendo.