Ni rahisi sana kufanya Biashara ya kuleta bidhaa kutoka nje kuliko kuanzisha kiwanda hapa Tanzania.
Tatizo kubwa ni Gharama za uendeshaji wa viwanda hapa Tanzania kuwa KUBWA, KUYUMBAYUMBA KWA SOKO, KODI, USUMBUFU, NISHATI ISIYOTABIRIKA na USHINDANI WA KIMAGUMASHI.
Biashara pekee ambayo ni rahisi kuanzishia kiwanda hapa Tanzania ni VINYWAJI.
ila mafuta ya Alizeti pure ni 13500 kutoka kiwandani kwa Lita 5.