Ni kama una majibu yako tayari ila unataka usikie uthibitisho kutoka kwa wadauWaziri machachari wa kilimo prof Adolf Mkenda mara baada ya kukemewa na rais Samia Suluhu kwa kitendo chake cha kukataa kutoa kibali cha kuagiza sukari nje ya nchi kuwa ni nonsense haonekani tena je ameenda wapi?
Sasa hivi kila kona anayeonekana ni naibu waziri Hussein Bashe tu.
Ni kama una majibu yako tayari ila unataka usikie uthibitisho kutoka kwa wadau
Mnaa huyoNi kama una majibu yako tayari ila unataka usikie uthibitisho kutoka kwa wadau
Kwa mwezi huu, ni kawaida watu wa pande zile, huendaga likizo pande zile.Waziri machachari wa kilimo prof Adolf Mkenda mara baada ya kukemewa na rais Samia Suluhu kwa kitendo chake cha kukataa kutoa kibali cha kuagiza sukari nje ya nchi kuwa ni nonsense haonekani tena je ameenda wapi?
Sasa hivi kila kona anayeonekana ni naibu waziri Hussein Bashe tu.
NI BUSARA UNAPOKARIPIWA NA KIONGOZI, UNAPASWA KUONYESHA UNYENYEKEVU NA NDIO ALICHOFANYA BWANA HUYU.... "YOU CAN NOT AFFORD TO CROSS SWORD WITH DECISION MAKER"Waziri machachari wa kilimo prof Adolf Mkenda mara baada ya kukemewa na rais Samia Suluhu kwa kitendo chake cha kukataa kutoa kibali cha kuagiza sukari nje ya nchi kuwa ni nonsense haonekani tena je ameenda wapi?
Sasa hivi kila kona anayeonekana ni naibu waziri Hussein Bashe tu.
Yuko JamiiForums na ID fekiWaziri machachari wa Kilimo, Prof. Adolf Mkenda mara baada ya kukemewa na Rais Samia Suluhu kwa kitendo chake cha kukataa kutoa kibali cha kuagiza sukari nje ya nchi kuwa ni nonsense haonekani tena je ameenda wapi?
Sasa hivi kila kona anayeonekana ni Naibu Waziri Hussein Bashe tu.