Pre GE2025 Prof. Adolf Mkenda pekee anaweza kukivusha CCM 2025

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Desprospero

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2023
Posts
1,015
Reaction score
2,493

Prof. Adolf Mkenda​

Kwa hali ilivyo kwa hakikq ni Waziri wa Elimu Prof. Mkenda anaweza kukivusha CCM katika nafasi ya Urais.

Sifa pekee za Mkenda ni pamoja na mtu wa principles. Ana msimamo usiyoyumba. Lakini kubwa zaidi Mkenda hana makundi ndani na nje ya CCM. Anajisimamia . Mkenda hana kashfa yoyote toka kugombea Ubunge hadi uteuzi wa nafasi za Uwaziri.

Kuna haja ya kwenda na huyu mwamba maana upinzani utakosa hoja dhidi yake. Nini Maori yako?
 
Mkuu usije ukasababisha jamaa awekewe sumu.
 
Ni Dkt Samia tu
 
Naona umetumwa either na yeye mwenyewe ili apime upepo au umetumwa na wahuni ili jamaa atumbuliwe. Mpaka 2025 tutaona drama nyingi.
 
Yaani kama kuna mtu anafaa kugombea CCM ni Professor Mkenda!
 
Mchaga kwenye urais ni big no...narudia Tena ..BIG NO
mtanishukuru baadae
 
Una mfahamu?? Waulize walio karibu nae
 
Wizara ya Elimu bado imemwelemea unataka apewe Urais?
 

Ukute ni 'mpinzani wa Mo' anataka kumchonganisha Prof. Mkenda na Mama.
 
Mara 1000 sisi kuliko nyiee...yaani mnataka Tena mkajenge lami mpaka uchochoroni kule kiruuu ...yaani nilishangaa tuliwapaga upm tu mkajenga lami mpaka milimani na umeme mkawapelekea nyani huko


Tukaujenga na mlima kilimamjaro au sio? Wivu utakuua wewe dada.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…