Prof. Adolf Mkenda: Walimu endeleeni kujiendeleza hata kama hamna ajira ili kuwasaidia wakati wa usaili

Prof. Adolf Mkenda: Walimu endeleeni kujiendeleza hata kama hamna ajira ili kuwasaidia wakati wa usaili

Mkalukungone mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
862
Reaction score
1,755
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda ametoa wito kwa walimu kuendelea kujiendeleza kielimu ili kuwasaidia wakati wa usaili.

Prof. Mkenda ametoa wito huo Jumanne Februari 11, 2025 Bungeni Jijini Dodoma wakati akijibu hoja za wabunge waliolikuwa wakichangia Taarifa ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Elimu, Utamaduni na Michezo kuhusu Shughuli za Kamati kwa Mwaka 2024.

Soma Pia: Prof. Adolf Mkenda: Serikali inaendelea kuweka mazingira wezeshi kwa Walimu

Amesema serikali haiwezi kuajiri walimu ambao hawana ubora, "Hatuwezi kukuajiri hata kama umekaa miaka 10 mtaani, itatuuma sana lakini inauma zaidi kuwapelekea wanafunzi mwalimu ambaye hajaandaliwa vizuri”.

 
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda ametoa wito kwa walimu kuendelea kujiendeleza kielimu ili kuwasaidia wakati wa usaili.

Prof. Mkenda ametoa wito huo Jumanne Februari 11, 2025 Bungeni Jijini Dodoma wakati akijibu hoja za wabunge waliolikuwa wakichangia Taarifa ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Elimu, Utamaduni na Michezo kuhusu Shughuli za Kamati kwa Mwaka 2024.

Soma Pia: Prof. Adolf Mkenda: Serikali inaendelea kuweka mazingira wezeshi kwa Walimu

Amesema serikali haiwezi kuajiri walimu ambao hawana ubora, "Hatuwezi kukuajiri hata kama umekaa miaka 10 mtaani, itatuuma sana lakini inauma zaidi kuwapelekea wanafunzi mwalimu ambaye hajaandaliwa vizuri”.

Ualimu sio dili tena kwenye mtaala mpya waalimu wa diploma hawaruhusiwi tena kufundisha sekondari maanake hawatakua na ajira tena wakati ni wengi hata kuliko wa degree.
 
Unasoma weee! Unapata diploma, unasoma weee unapa degree wakati huna ajira. Umri unasonga mbele, hiyo elimu itatumika lini? Bora mtu akimbiliea VETA akapate ufundi huko hata wa certificate aingie mtaani kujiajiri fasta kuliko kujisomesha zaidi huku huna ajira, hii ni akili au matope? Huko kujisomesha zaidi ada itatoka wapi wakati mtu hana ajira?
 
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda ametoa wito kwa walimu kuendelea kujiendeleza kielimu ili kuwasaidia wakati wa usaili.

Prof. Mkenda ametoa wito huo Jumanne Februari 11, 2025 Bungeni Jijini Dodoma wakati akijibu hoja za wabunge waliolikuwa wakichangia Taarifa ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Elimu, Utamaduni na Michezo kuhusu Shughuli za Kamati kwa Mwaka 2024.

Soma Pia: Prof. Adolf Mkenda: Serikali inaendelea kuweka mazingira wezeshi kwa Walimu

Amesema serikali haiwezi kuajiri walimu ambao hawana ubora, "Hatuwezi kukuajiri hata kama umekaa miaka 10 mtaani, itatuuma sana lakini inauma zaidi kuwapelekea wanafunzi mwalimu ambaye hajaandaliwa vizuri”.

Elimu. Elimu. Elimu
 
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda ametoa wito kwa walimu kuendelea kujiendeleza kielimu ili kuwasaidia wakati wa usaili.

Prof. Mkenda ametoa wito huo Jumanne Februari 11, 2025 Bungeni Jijini Dodoma wakati akijibu hoja za wabunge waliolikuwa wakichangia Taarifa ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Elimu, Utamaduni na Michezo kuhusu Shughuli za Kamati kwa Mwaka 2024.

Soma Pia: Prof. Adolf Mkenda: Serikali inaendelea kuweka mazingira wezeshi kwa Walimu

Amesema serikali haiwezi kuajiri walimu ambao hawana ubora, "Hatuwezi kukuajiri hata kama umekaa miaka 10 mtaani, itatuuma sana lakini inauma zaidi kuwapelekea wanafunzi mwalimu ambaye hajaandaliwa vizuri”.

 
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda ametoa wito kwa walimu kuendelea kujiendeleza kielimu ili kuwasaidia wakati wa usaili.

Prof. Mkenda ametoa wito huo Jumanne Februari 11, 2025 Bungeni Jijini Dodoma wakati akijibu hoja za wabunge waliolikuwa wakichangia Taarifa ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Elimu, Utamaduni na Michezo kuhusu Shughuli za Kamati kwa Mwaka 2024.

Soma Pia: Prof. Adolf Mkenda: Serikali inaendelea kuweka mazingira wezeshi kwa Walimu

Amesema serikali haiwezi kuajiri walimu ambao hawana ubora, "Hatuwezi kukuajiri hata kama umekaa miaka 10 mtaani, itatuuma sana lakini inauma zaidi kuwapelekea wanafunzi mwalimu ambaye hajaandaliwa vizuri”.

Tumesema huku wapigwe msasa kabla ya kuingia kufundisha!
 
Unasoma weee! Unapata diploma, unasoma weee unapa degree wakati huna ajira. Umri unasonga mbele, hiyo elimu itatumika lini? Bora mtu akimbiliea VETA akapate ufundi huko hata wa certificate aingie mtaani kujiajiri fasta kuliko kujisomesha zaidi huku huna ajira, hii ni akili au matope? Huko kujisomesha zaidi ada itatoka wapi wakati mtu hana ajira?
Elimu bongo imekosa thamani, ushauri Kwa vijana wasomi tufute dhana ya kutaka kuajiriwa ijapokuwa mfumo wetu waelimu unatutaka kuajiriwa. So kipi chakufanya kwanza tusichague kazi, pili tupunguze starehe , tatu tusione aibu kuanza zero hata tukiwa na digree .
 
Kwa ufupi kuongea bila tafiti,huna hela,una Njaa,unajiendeleza na Nini?!!!
 
Akajiendeleze na nn profesa? Ukikaa una shibe kuna wenye njaa...kwanza.......mmmmhhhhh mdomo wangu koma .
 
Mimi nimwpambana kujitafutia chaka langu la Career nyengine now nitazeeka na hii career yangu mpya.

Walimu angalieni Career inayoingilika kirahisi bila kusoma ingia ukiingia tafuta experience utengeneze connection Booom.
 
Huyu naye kaanza kuwehukwa tangu apate ugumu wa kuonana na Rais.

Hata hajui analolisema, mxxxxiiiiiieeew

Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
 
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda ametoa wito kwa walimu kuendelea kujiendeleza kielimu ili kuwasaidia wakati wa usaili.

Prof. Mkenda ametoa wito huo Jumanne Februari 11, 2025 Bungeni Jijini Dodoma wakati akijibu hoja za wabunge waliolikuwa wakichangia Taarifa ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Elimu, Utamaduni na Michezo kuhusu Shughuli za Kamati kwa Mwaka 2024.

Soma Pia: Prof. Adolf Mkenda: Serikali inaendelea kuweka mazingira wezeshi kwa Walimu

Amesema serikali haiwezi kuajiri walimu ambao hawana ubora, "Hatuwezi kukuajiri hata kama umekaa miaka 10 mtaani, itatuuma sana lakini inauma zaidi kuwapelekea wanafunzi mwalimu ambaye hajaandaliwa vizuri”.

Prof. Mkenda amefanya lipi la maana toka ateuliwe waziri wa elimu.
 
Back
Top Bottom