Prof. Bisanda aomba HESLB kufadhili wanafunzi wa Chuo Kikuu Huria, mwaka huu wametoa mikopo kwa wanafunzi saba pekee

Prof. Bisanda aomba HESLB kufadhili wanafunzi wa Chuo Kikuu Huria, mwaka huu wametoa mikopo kwa wanafunzi saba pekee

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,108
Reaction score
10,191
Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Huria Tanzania, Prof Bisanda amesema wanakumbana na changamoto ya Bodi ya Mikopo Kutowatambua wanafunzi wa Chuo hiko, hivyo hutoa mikopo kwa wanafunzi wachache ambapo kwa mwaka huu wametoa mikopo kwa watu saba tu.

Amesema gharama inayotumika kusomesha wanafunzi watatu katika vyuo vya kawaida inaweza kusomesha wanafunzi watano chuo kikuu Huria.

Ameiomba wizara ya elimu kuangalia namna ya kuwapa mikopo wanafunzi hao kwa kuwa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania ni chuo namba moja kwa ubora Afrika.
 
Apoo kam n saba tuu wamepewaa duuuuh Hili swala waliangalie kiupanaa sanaaaaa

Vya serikali vyenyewe hali ni tete😏😏.

Sema helsb wanatakiwaa wawe na vigezo maalumu na muhimuu kwa kutoa mikopo yao.

Kwa sahiv mwak huu duuuh hali mbayaaa.
 
Back
Top Bottom