simonrajab
Member
- Jan 15, 2022
- 47
- 16
1. HUDUMA NA USTAWI WA WANACHAMA
- Mpango wa Bima nafuu kutoka TZS 1,056,000 mpaka kufikia TZS 500,000 kwa mwanachama kwa mwaka.
-Juhudi za kufanya mazungumzo na Mahakama kuhakikisha miundombinu rafiki kwa Mawakili wenye ulemavu katika majengo ya mahakama.
- Kuwezesha jukwaa la Mawakili Vijana
- Kushusha tozo na ada ya Mawakili kutoka TZS 60,000 hadi TZS 20,000
- Kuandaa warsha na makongamano mbalimbali kwaajili ya kuwajengea uwezo Mawakili.
- Mpango wa Bima nafuu kutoka TZS 1,056,000 mpaka kufikia TZS 500,000 kwa mwanachama kwa mwaka.
-Juhudi za kufanya mazungumzo na Mahakama kuhakikisha miundombinu rafiki kwa Mawakili wenye ulemavu katika majengo ya mahakama.
- Kuwezesha jukwaa la Mawakili Vijana
- Kushusha tozo na ada ya Mawakili kutoka TZS 60,000 hadi TZS 20,000
- Kuandaa warsha na makongamano mbalimbali kwaajili ya kuwajengea uwezo Mawakili.