Prof. Edward Hoseah katika utekelezaji wa ahadi 2021- 2022

Prof. Edward Hoseah katika utekelezaji wa ahadi 2021- 2022

simonrajab

Member
Joined
Jan 15, 2022
Posts
47
Reaction score
16
1. HUDUMA NA USTAWI WA WANACHAMA

- Mpango wa Bima nafuu kutoka TZS 1,056,000 mpaka kufikia TZS 500,000 kwa mwanachama kwa mwaka.

-Juhudi za kufanya mazungumzo na Mahakama kuhakikisha miundombinu rafiki kwa Mawakili wenye ulemavu katika majengo ya mahakama.

- Kuwezesha jukwaa la Mawakili Vijana

- Kushusha tozo na ada ya Mawakili kutoka TZS 60,000 hadi TZS 20,000

- Kuandaa warsha na makongamano mbalimbali kwaajili ya kuwajengea uwezo Mawakili.

IMG-20220521-WA0021.jpg
 
Back
Top Bottom