Prof. Ibrahim haruna lipumba na juma duni haji uchaguzi wa 1995

Mohamed Said

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2008
Posts
21,967
Reaction score
32,074

[TABLE="class: tr-caption-container, align: center"]
[TR]
[TD] [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: tr-caption"]Kushoto Mohamed Omari Mkwawa, Juma Duni na Prof. Ibrahim Lipumba[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="class: tr-caption-container, align: center"]
[TR]
[TD]


[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: tr-caption"]Prof. Ibrahim Lipumba na mlinzi wake



[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

[TABLE="class: tr-caption-container, align: center"]
[TR]
[TD]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: tr-caption"]Juu Prof. Lipumba na chini ni Juma Duni wakihojiwa na Mariam Shamte wa BBC Golden Rose Hotel Tanga wakati wa kampeni ya Uchaguzi Mkuu 1995

[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="class: tr-caption-container, align: center"]
[TR]
[TD]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: tr-caption"]Aliekaa katikati na gauni jekundu ni Mama Umi na pembeni yake ni binti yake Umi
Mwanzo kushoto ni Prof. Ibrahim Lipumba na anaemfuatia ni Pashua[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="class: tr-caption-container, align: center"]
[TR]
[TD]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: tr-caption"]Mgombea wa National Recontruction Alliance (NRA) Same 1995



Wanachama wa NRA siku ya kuhakiki chama Ukumbi wa Arnatouglo, Dar es Salaam



Prof. Lipumba na Juma Duni Golden Rose Hotel Tanga



Juma Duni akihutubia mkutano wa kampeni wa uchaguzi wa 1995



Mwandishi akiwa kwenye timu ya Prof. Lipumba Uchaguzi wa 1995 Korogwe



Kalenda ikionyesha siku ya uchaguzi Zanzibar 22 Oktoba 1995




Kushoto Mwandishi akiwa na wapiga kura wa Jaws Corner Zanzibar asubuhi siku ya uchaguzi
Zanzibar tarehe 22 Oktoba 1995

[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
 
Lipumba ilikuwa ajiunge na NRA ikawa NAREA...mwaka 1995
mwanzo CUF walikuwa hawana mgombea walikuwa kidogo wamuunge mkono Mrema...
 
Mgombea wa NRA alikuwa Marehemu Kigoma Malima akafariki ghafla UK...
 
Nipenda bure hizo kumbu kumbu...kumbe watu wanatoka mbali sana
Hakika hawakukutana barabarani.
 
Hata mm nilitaka niulize swali kama hilo


  1. The Life and Times of Abdulwahid Sykes 1924 –1968 The Untold Story of the Muslim Struggle Against British Colonialism in Tanganyika, Minerva Press London, 1998 translated into Kiswahili as Maisha na Nyakati za Abdulwahid Sykes 1924-1968 Historia Iliyofichwa Kuhusu Harakati za Waislam Dhidi ya Ukoloni wa Waingereza, Phoenix Publishers, Nairobi, 2002.
  2. The Torch on Kilimanjaro, Oxford University Press 2006, Nairobi. (Children's book).
  3. Contributing author for an African Anthology: The Mermaid of Msambweni and Other Stories, Oxford University Press 2007, Nairobi.
  4. Contributing author Dictionary of African Biography (DAB), Oxford University Press 2011, New York.
  5. Uchaguzi wa Busara, Abantu Publications 2008, Dar es Salaam.
 
Mohammed Said, kifo cha Kighoma Malima kilikuwa cha "kawaida" au aliuwawa?
 
Last edited by a moderator:
Sheikh Mohammed Said, nilitazama show yako kwenye AzamTV and you were superb. I wish swahiba wangu gombesugu, angalikuona live tukiwa wote na kijikombe cha kahawa au tangawizi maeneo ya ngamiani, hahahahahah hongera sana.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…